Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Habari binafsi sio shabiki mkubwa sana wa maswala ya siasa kuna baadhi ya wanasiasa kwa hapa Tanzania ambao hata nikipewa nafasi ya kuonana nao na kuhoji katika harakati zao za siasa mtu wa kwanza kabisa ni mzee wangu huyu hashimu rungwe
nukuu "Kura zangu mwaka 2015 kwenye uchaguzi wa Rais ziliibiwa , haiwezekani nipate kura 2000, halafu naletewa kura 200, hiyo sifuri moja imemezwa?" - Hashim Rungwe huyu mzee nje ya siasa ni comedian mzurii sana
nukuu "Kura zangu mwaka 2015 kwenye uchaguzi wa Rais ziliibiwa , haiwezekani nipate kura 2000, halafu naletewa kura 200, hiyo sifuri moja imemezwa?" - Hashim Rungwe huyu mzee nje ya siasa ni comedian mzurii sana