Hivi Mzee Baba huwa anasoma comments kule twitter baada ya kuandika tweets zake?

Jamii forum inawatumiaji wengi kuliko Twitter TZ hilo ni kundi chache sana la watu wasiojitambua na sio watz wengi wana hasira,
JPM is the choosen 1 tutakuja kukili akimaliza muda wake

Unaweza kuleta takwimu kuwa jf ina watumiaji wengi kuliko Twitter kwa hapa Tz?
Jf ina wanachama waliosajiliwa around 550K, na wengine wana multiple Id!
Meko kwa mfano kule twitter ana followers zaidi ya 900K na zaidi ya 85% ni watz!
Japo wapo wengine wanatumia Jf bila kujisajili vile vile wapo watu wanaotumia twitter na wala hawana habari na Jf!
Sasa hebu leta takwimu zisizo na mashaka kuwa pengine kwa siku jf inatembelewa zaidi na watz kuliko twitter, au uthibitisho mwingine kuwa jf inaongoza kwa watumiaji wengi kuliko twitter!
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Upuuzi mtupu. Duniani hapa hata Yesu, mtume walisemwa ndio itakuwa Magufuli. Acha stress za kukosa ruzuku, mfanye kazi sasa.
 
Jamii forum inawatumiaji wengi kuliko Twitter TZ hilo ni kundi chache sana la watu wasiojitambua na sio watz wengi wana hasira,
JPM is the choosen 1 tutakuja kukili akimaliza muda wake
siyo kweli jf ina members wangapi?kama kigogo na followers 350,000 ina maana gani hiyo? kuna zaidi ya watanzania million moja twitter jamii forums haina hata members 500,000 hapa na kuna watu wana account zaidi ya 10
 
Upuuzi mtupu. Duniani hapa hata Yesu, mtume walisemwa ndio itakuwa Magufuli. Acha stress za kukosa ruzuku, mfanye kazi sasa.
jibu zuri sana ila nafkri wapambe wake waache kuhangaika na wakosoaji wake maana hakuna atakayekubalika na wote huwezi lazimisha hata Mungu kuna watu hawamkubali
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
pole sana mkuu, kwahiyo hayo matusi yana tija gani kwa taifa katka wakati huu?? Mambo mengine ni kufikiri kwa miguu tu unapata jibu mkuu,😃
 
Mleta mada mbona unakuwa Kama siyo mkazi wa Tanzania bhana,
Tembelea akaunti za Yanga utakuta wanao comment wengi Ni watu wa Simba Tena kwa matusi na kejeri na matusi.

Tembelea akaunti za Simba utakuta Wana Yanga ndo wapo active ku comment Tena kwa matusi na kejeli.

Naomba kuishia hapo nafikri utakuwa umenielewa.
Usituletee usimba na uyanga hapa sisi sote ni watanzania na yule siyo rais wa ccm
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Who care!
 
Mleta mada mbona unakuwa Kama siyo mkazi wa Tanzania bhana,
Tembelea akaunti za Yanga utakuta wanao comment wengi Ni watu wa Simba Tena kwa matusi na kejeri na matusi.

Tembelea akaunti za Simba utakuta Wana Yanga ndo wapo active ku comment Tena kwa matusi na kejeli.

Naomba kuishia hapo nafikri utakuwa umenielewa.
Weka screen shot
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Si ndiyo maana alisema anatamani malaika washuke na kuzima mitandao.
 
Unaweza kuleta takwimu kuwa jf ina watumiaji wengi kuliko Twitter kwa hapa Tz?
Jf ina wanachama waliosajiliwa around 550K, na wengine wana multiple Id!
Meko kwa mfano kule twitter ana followers zaidi ya 900K na zaidi ya 85% ni watz!
Japo wapo wengine wanatumia Jf bila kujisajili vile vile wapo watu wanaotumia twitter na wala hawana habari na Jf!
Sasa hebu leta takwimu zisizo na mashaka kuwa pengine kwa siku jf inatembelewa zaidi na watz kuliko twitter, au uthibitisho mwingine kuwa jf inaongoza kwa watumiaji wengi kuliko twitter!

Inakuaje Kuna nyuzi(threads) humu zina views Million 1 na zaidi ?
 
Wm
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Wengi.ukiwaangalia unakuta ni mashoga na wachawi,
Waliotolewa kwenye mishahara hewa, wachukua tenda za uongo, wazembe kazini, vyeti fake, na mafisadi.
Kwa kuwa wana uhuru wa kupumua kupitia twiter basi wacha wapumue, ila ujumbe ple unapotaka kwenda basi huwa unafika na kupokelewa.
 
Watu wa mtandaoni waone hivyo hivyo siku nasoma comments wakati naangalia press ya Mbowe ndio nilielewa.
 
Back
Top Bottom