Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.
Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?
Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?
Kama anapitia, anajifunza mini?
Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.
Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?
Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.
Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.
Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?
Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?
Kama anapitia, anajifunza mini?
Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.
Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?
Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.
Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.
Duniani tunapita jamani,tutende haki.