Saskatchewan
Senior Member
- Oct 16, 2011
- 148
- 21
Nashindwa kuelewa ktk haya maeneo ya starehe kwa mfano ktk mabaa, grocery, hotel nk. kupiga muziki kwa sauti kubwa na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wanaozunguka maeneo hayo. Wakati wa usiku wanafungulia muziki mpaka usiku wa manane matokeo yake tunashindwa kupata usingizi! Sie tunaokaa uswahilini tunapata shida sana!