OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,634
imagine hapo kasoma,asingekuwa amesoma je. ujinga na ushamba ukivichanganya ni bom. Kwa serikali zenye akili hii kauli ilitosha kumfukuza kaziMwigulu Nchemba elimu bado haiaja mkomboa. Wakisha pewa izo ela worldvison na NGOs zingine watajiendeshaje??