JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,815
Umuhimu wa umri upime kwa kuangalia uwezo wa mtu kutatua mambo na kiwango cha busara na sio miaka mtu aliyoishi duniani.Ila bana haya mambo ya umri hapana..aah Mimi hapana Yani mwanaume nikupite umri..aahh
Kila la kheri mkuu
Sema mara nyingi umri mkubwa huambatana na uzoefu wa maisha na busara lakini si lazima iwe hivyo wakati wote.
Kuna vijana wana 30's wana uwezo mkubwa wa kulea familia na kutunza mke kuliko wababa wenye 50's