wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani kwa mfano mtu kama wakili@kibatala nguli wa sheria (mwanasheia )au RUMANYIKA afanye kosa ambalo atapandishwa mahakamani au mwanasheria yule hivi nao labda washtakiwe je?
Nao huwa wanakuwa na mwanasheria wao ?kama tunavyoona labda kiongozi fulani akipandishwa kizimbani huwa tunaona anaweka mwanasheria wake.je!na hao wanasheria hivi nao wana wanasheria wao?
Nao huwa wanakuwa na mwanasheria wao ?kama tunavyoona labda kiongozi fulani akipandishwa kizimbani huwa tunaona anaweka mwanasheria wake.je!na hao wanasheria hivi nao wana wanasheria wao?