MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,759
- 3,030
personally, I hate them with a passion!!Exactly. And I'm not sure kama ana mwanamke. From what I know, wanawake huwa wanachukia wanaume wenye tabia za kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
personally, I hate them with a passion!!Exactly. And I'm not sure kama ana mwanamke. From what I know, wanawake huwa wanachukia wanaume wenye tabia za kike.
Ipo shida kuishi jinsia mbili tofauti kwenye chumba kimoja Tena Rika moja halafu ukawa serious muda wote. No matter umri bi dadaHiyo ndio shida ya kuolewa na viserengeti boys..kila kikiona sketi kiboro kinadisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshakwenda na maji wewe. Hauponi.Ndugu ni mkasa mfupi mnaweza kushauri,
Iko hivi nimeoa ila nafanya kazi ofisi moja na mdada mmoja mzuri sana. Mke wangu pia Ni mzuri thus way nimeamua kumuoa. Lakini tatizo mke wangu haniamini kuhusu huyo mdada wa kazini muda mwingi Hana furaha akilalamika kwamba namsaliti kwa huyo mdada. Nimeshajitetea kwamba sitembei na huyo mdada na ndio ukweli wa Maisha yangu lakini haniamini.
Ni utaratibu wa kawaida kwamba muwapo watu wa rika moja eneo fulani basi utaniutani hauwezi kukwepeka Kama kujikuta umemishika nywele, n.k ila sio utani wa ukaribu sana.
Sasa kwa kuwa tunafanya kazi ofisi moja mwanzoni kabisa maneno yakasambaa kwamba fulani anatembea na fulani. Maneno yakakuwa mpaka yakamfikia mke wangu, Sasa imekuwa Ni vurugu Mai ndani baina yangu na mke wangu na baina ya mke wangu na huyo mdada. Wanaonesheana chuki huko mtaani maana hata salamu hawapeani.
Wanapeana michambo lakini Mimi namsisitiziaga make wangu kwamba huyo mdada ana watu wake kabisa na sio mmoja ninaowajua hivyo siwezi kutembea nae lakini haniamini.
Sasa juzi nikiwa ofisini nikashangaa huyo mdada anafuta mchozi na kuniambia " Thai mwambie mke wako nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka, narudia tena mwambie nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka hata kwa lazima" nikaduwaa!!
Si kutaka aendelee kuongelea hilo suala maana Kuna mfanyakazi mwingine alikuwemo ofisini kwetu. Kitu kingine sikutaka kumuliza kivipi anaweza kunifanya atoke na Mimi maana niliona tutaenda kwenye kukamiana kitu ambacho ctaki kitokee kwa huyo mdada.
Unajua Kama umeoa inabidi uwe makini Sana na mahusiano mapya maana unaweza ukapewa mahaba ukatelekeza familia.
Huyu mdada cina mazoea nae nje ya ofisi kwa sababu ghetto yupo single hivyo nilishajiapie kutomtembelea kwake. Wala ciweki mihaadi ya kukutana nae nje ya eneo la kazi kwa sababu najua yanayoweza kutokea huko Ni mengine.
Sasa nimekuja kwenu wadada mnifungue macho yawezekena ninyi mnayajua madhaifu yetu tofauti na sisi wanaume tunavyojifahamu.
Yawezekena vp mdada utoke kimapenzi na Mwanaume Hali yeye hajadhamilia kutoka na wewe. Tena hudai hata kwa lazima unaweza kutekeleza Hilo au hiyo kauli ya hata kwa lazima ilitoka kwa hasira tu. Siwezi kumuliza huyo mdada kuhusu kauli yake hiyo maana nitaonekana nijipandisha kwake kitu ambacho huwa cpendi nikikiona nakifanya kwa mtu yeyote.
Jamaa una hate bila fact, elewa Kwanza scenario ndo ukomenti. Insu iko hivi unawezaje kuwa serious muda wote kwa mtu mnaefanyanae kazi ofisi moja, jinsia tofauti. Jamii itakuchukuliaje hata Kama utasema hutembei nae!Exactly. And I'm not sure kama ana mwanamke. From what I know, wanawake huwa wanachuki wanaume wenye tabia za kike.
Honestly this is Nonsense we jamaa unafeli sana at your age sio wa kuandika izo blah blah apo..Ndugu ni mkasa mfupi mnaweza kushauri,
Iko hivi nimeoa ila nafanya kazi ofisi moja na mdada mmoja mzuri sana. Mke wangu pia Ni mzuri thus way nimeamua kumuoa. Lakini tatizo mke wangu haniamini kuhusu huyo mdada wa kazini muda mwingi Hana furaha akilalamika kwamba namsaliti kwa huyo mdada. Nimeshajitetea kwamba sitembei na huyo mdada na ndio ukweli wa Maisha yangu lakini haniamini.
Ni utaratibu wa kawaida kwamba muwapo watu wa rika moja eneo fulani basi utaniutani hauwezi kukwepeka Kama kujikuta umemishika nywele, n.k ila sio utani wa ukaribu sana.
Sasa kwa kuwa tunafanya kazi ofisi moja mwanzoni kabisa maneno yakasambaa kwamba fulani anatembea na fulani. Maneno yakakuwa mpaka yakamfikia mke wangu, Sasa imekuwa Ni vurugu Mai ndani baina yangu na mke wangu na baina ya mke wangu na huyo mdada. Wanaonesheana chuki huko mtaani maana hata salamu hawapeani.
Wanapeana michambo lakini Mimi namsisitiziaga make wangu kwamba huyo mdada ana watu wake kabisa na sio mmoja ninaowajua hivyo siwezi kutembea nae lakini haniamini.
Sasa juzi nikiwa ofisini nikashangaa huyo mdada anafuta mchozi na kuniambia " Thai mwambie mke wako nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka, narudia tena mwambie nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka hata kwa lazima" nikaduwaa!!
Si kutaka aendelee kuongelea hilo suala maana Kuna mfanyakazi mwingine alikuwemo ofisini kwetu. Kitu kingine sikutaka kumuliza kivipi anaweza kunifanya atoke na Mimi maana niliona tutaenda kwenye kukamiana kitu ambacho ctaki kitokee kwa huyo mdada.
Unajua Kama umeoa inabidi uwe makini Sana na mahusiano mapya maana unaweza ukapewa mahaba ukatelekeza familia.
Huyu mdada cina mazoea nae nje ya ofisi kwa sababu ghetto yupo single hivyo nilishajiapie kutomtembelea kwake. Wala ciweki mihaadi ya kukutana nae nje ya eneo la kazi kwa sababu najua yanayoweza kutokea huko Ni mengine.
Sasa nimekuja kwenu wadada mnifungue macho yawezekena ninyi mnayajua madhaifu yetu tofauti na sisi wanaume tunavyojifahamu.
Yawezekena vp mdada utoke kimapenzi na Mwanaume Hali yeye hajadhamilia kutoka na wewe. Tena hudai hata kwa lazima unaweza kutekeleza Hilo au hiyo kauli ya hata kwa lazima ilitoka kwa hasira tu. Siwezi kumuliza huyo mdada kuhusu kauli yake hiyo maana nitaonekana nijipandisha kwake kitu ambacho huwa cpendi nikikiona nakifanya kwa mtu yeyote.
Makosa unayoyafanya hapo ni hayo mazoea na mfanyakazi mwenzio kuwa makini sana na vitu unavyomfanyia au kumuonesha au kumwambia kwa sababu sisi wanaume tuko tofauti kidogo na wananakeNdugu ni mkasa mfupi mnaweza kushauri,
Iko hivi nimeoa ila nafanya kazi ofisi moja na mdada mmoja mzuri sana. Mke wangu pia Ni mzuri thus way nimeamua kumuoa. Lakini tatizo mke wangu haniamini kuhusu huyo mdada wa kazini muda mwingi Hana furaha akilalamika kwamba namsaliti kwa huyo mdada. Nimeshajitetea kwamba sitembei na huyo mdada na ndio ukweli wa Maisha yangu lakini haniamini.
Ni utaratibu wa kawaida kwamba muwapo watu wa rika moja eneo fulani basi utaniutani hauwezi kukwepeka Kama kujikuta umemishika nywele, n.k ila sio utani wa ukaribu sana.
Sasa kwa kuwa tunafanya kazi ofisi moja mwanzoni kabisa maneno yakasambaa kwamba fulani anatembea na fulani. Maneno yakakuwa mpaka yakamfikia mke wangu, Sasa imekuwa Ni vurugu Mai ndani baina yangu na mke wangu na baina ya mke wangu na huyo mdada. Wanaonesheana chuki huko mtaani maana hata salamu hawapeani.
Wanapeana michambo lakini Mimi namsisitiziaga make wangu kwamba huyo mdada ana watu wake kabisa na sio mmoja ninaowajua hivyo siwezi kutembea nae lakini haniamini.
Sasa juzi nikiwa ofisini nikashangaa huyo mdada anafuta mchozi na kuniambia " Thai mwambie mke wako nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka, narudia tena mwambie nikiamua kutoka na wewe kimapenzi nitatoka hata kwa lazima" nikaduwaa!!
Si kutaka aendelee kuongelea hilo suala maana Kuna mfanyakazi mwingine alikuwemo ofisini kwetu. Kitu kingine sikutaka kumuliza kivipi anaweza kunifanya atoke na Mimi maana niliona tutaenda kwenye kukamiana kitu ambacho ctaki kitokee kwa huyo mdada.
Unajua Kama umeoa inabidi uwe makini Sana na mahusiano mapya maana unaweza ukapewa mahaba ukatelekeza familia.
Huyu mdada cina mazoea nae nje ya ofisi kwa sababu ghetto yupo single hivyo nilishajiapie kutomtembelea kwake. Wala ciweki mihaadi ya kukutana nae nje ya eneo la kazi kwa sababu najua yanayoweza kutokea huko Ni mengine.
Sasa nimekuja kwenu wadada mnifungue macho yawezekena ninyi mnayajua madhaifu yetu tofauti na sisi wanaume tunavyojifahamu.
Yawezekena vp mdada utoke kimapenzi na Mwanaume Hali yeye hajadhamilia kutoka na wewe. Tena hudai hata kwa lazima unaweza kutekeleza Hilo au hiyo kauli ya hata kwa lazima ilitoka kwa hasira tu. Siwezi kumuliza huyo mdada kuhusu kauli yake hiyo maana nitaonekana nijipandisha kwake kitu ambacho huwa cpendi nikikiona nakifanya kwa mtu yeyote.
Wamekuja banaWe mwenyewe unaonekana unamtaka ndio maana kasema hivo kwasababu kashakujua udhaifu wako na soon atakupata. Maana mkeo anazidi kulia wivu na wewe hufanyi jitahidi za kumridhisha mkeo kwa kukaa mbali na huyo mfanyakazi mwenzio mnaotakana.
Utani gani eti huwa namshika hata nywele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point Sana nitajitaidi nifanyie kaziMakosa unayoyafanya hapo ni hayo mazoea na mfanyakazi mwenzio kuwa makini sana na vitu unavyomfanyia au kumuonesha au kumwambia kwa sababu sisi wanaume tuko tofauti kidogo na wananake
Mwanaume unaweza ukamwambia mwanamke kitu chochote lakini katika ubongo wako ukalitafsiri hilo neno katika ubongo wa maana changamoto inakuja kwa wanawake wenyewe hawasikiagi maneno ila wanatafsiri maneno katika ubongo wa hisia hivyo unaweza mwambia mfanyakazi mwenzio kwamba " wewe ni mrembo haki sijawahi ona mrembo kama wewe" lakini ww ukalichukulia kama utani ila yeye ataanza kulidadavua na kufarijika kwamba aah kumbe mimi yaweza kuwa ni mrembo kumzidi mke wake...
Sasa endapo mke wako akagundua vitu kama hivo na yeye hawezi tafsiri hyo scinario katika ubongo wa maana lazima ataitafsiri kihisia zaidi na ndio maana anakosa raha kwa sababu anaamini wewe na huyo mfanyakazi mwenzio mnatoka kimapenzi
Chamsingi unapaswa kuwa na mipaka mkuu "KEEP THE LIMITS" hakikisha kuna mipaka na husiwahi mwambia mwanamke ambaye sio mke au mpenzi wako maneno ambayo unajua kabisa anafaa kuambiwa mpenzi au mke wako tu, wanawake wanahitaji jambo dogo sana yaani kuona hisia zao zinazingatiwa kwa kupewa kipaumbele, kuheshimiwa na kusikilizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app