Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Jamani kuna mdada nimepanga nae nyumba moja kama siku mbili tatu zilizopita ,
Huyo mdada alinitongoza na akaniambia ananipenda sana na akanielezea kuhusu maisha yake nami niksmuelezea japo kifupi.
Sasa baada ya kuanza nae mahusiano aliniambia kwamba kuna mchezo anaucheza kila siku elfu 15 anatakiwa awe anapeleka kwa kijumbe na ameenda mbali zaidi kuniambia mimi ndo tegemeo lake niwe nampatia hiyo pesaa niwe kila siku nampatia....
Sasa bahati mbaya mimi mshahara wangu ni mdogo sana na uwezo wa kutoa 15 kwa siku sina basi baada ya kugundua hivyo kipato changu kidogo ameniomba tuachane kwa maana anaona kama vile namnyima na hanitaki
Lakini kabla ya yote hayo kutokea yeye ndo alinitongozaa na aliniambia ananipenda toka moyoni lakini baada ya kuniona kipato changu cha hakikidhi mahitaji yake kasepaaaa.
Kwa kifupi nimejisikia vibaya sana "ni kwanini nilimkubalia yule mdada awe mpenzi wangu "
Lakini katika yote hayoo
IVI NI KWELI WADADA WANAPENDA KWELI PALE WANAPOTONGOZA WANAUME?
Huyo mdada alinitongoza na akaniambia ananipenda sana na akanielezea kuhusu maisha yake nami niksmuelezea japo kifupi.
Sasa baada ya kuanza nae mahusiano aliniambia kwamba kuna mchezo anaucheza kila siku elfu 15 anatakiwa awe anapeleka kwa kijumbe na ameenda mbali zaidi kuniambia mimi ndo tegemeo lake niwe nampatia hiyo pesaa niwe kila siku nampatia....
Sasa bahati mbaya mimi mshahara wangu ni mdogo sana na uwezo wa kutoa 15 kwa siku sina basi baada ya kugundua hivyo kipato changu kidogo ameniomba tuachane kwa maana anaona kama vile namnyima na hanitaki
Lakini kabla ya yote hayo kutokea yeye ndo alinitongozaa na aliniambia ananipenda toka moyoni lakini baada ya kuniona kipato changu cha hakikidhi mahitaji yake kasepaaaa.
Kwa kifupi nimejisikia vibaya sana "ni kwanini nilimkubalia yule mdada awe mpenzi wangu "
Lakini katika yote hayoo
IVI NI KWELI WADADA WANAPENDA KWELI PALE WANAPOTONGOZA WANAUME?