Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Kaka unajua nini mimi mara ya kwanza wakati demu anani aproach nilijua utaani tuu,
Baada ya siku kadhaa alikomaa hadi nikajikuta naingia kwenye kumi nane za demuuu,
Mbaya zaidi nilijipa moyo hili litakuwa ni zali la mentalii kumbe sio
Haaa haaa Haaa haaa Haaa teeeh teeeh teeeh teeeh.
Umenikumbusha hii songingo ya Masela wa hapo Bongoland, ubongo wa flava.
"Aliyeuza cheni alipewa noti bandia' na aliyetoa noti alipewa cheni bandia"
Wanamalizia , kwa usemi "ngoma draw"