proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Jana nilikua nimekaa na demu flani tupo tumechili maeneo flani tunapiga stori za hapa na pale. Baada ya maongezi demu akaniambia tuanze kuangaliana tukaanza kuangaliana machoni zaidi ya dk 1, baadaye akaniambia basi inatosha.
Nilipomuuliza hii inamaana gani akanijibu kuna kitu nilitaka niangalie, ingawa hakusema ni kitu gani.
Sasa naomba kuuliza hii kitu ina maana gani?
Nilipomuuliza hii inamaana gani akanijibu kuna kitu nilitaka niangalie, ingawa hakusema ni kitu gani.
Sasa naomba kuuliza hii kitu ina maana gani?