Hivi mwanajeshi wa Marekani ana hadhi sawa na mwanajeshi wa Tanzania? Kuanzia kipato/ mshahara, mafunzo?

Mwanajeshi wa marekani hawezi kuwa sawa na.mwanajeshi wa Tanzania. US wanajeshi wanaenda sana kwenye operations hasa kwenye nchi za middle east. huku kwetu mambo ni tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
S

Aweke chanzo cha habari yake

Chanzo cha habari wakati niko hapa kila siku wanatangaza ajira
Unge Google tu ukajua wanakula ngapi
Tatizo sisi kila kitu kinafichwa wakati huku kila kazi unaiona na unaweza kuona wanalipa ngapi kabla hata hujaomba
Na hakuna kitu cha kuficha huku
Tuna Freedom of information Act pia ya kujua kila kitu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Chanzo cha habari wakati niko hapa kila siku wanatangaza ajira
Unge Google tu ukajua wanakula ngapi
Tatizo sisi kila kitu kinafichwa wakati huku kila kazi unaiona na unaweza kuona wanalipa ngapi kabla hata hujaomba
Na hakuna kitu cha kuficha huku
Tuna Freedom of information Act pia ya kujua kila kitu


Sent from my iPhone using Tapatalk

'Tatizo sisi kila kitu kinafichwa wakati huku kila kazi unaiona na unaweza kuona wanalipa ngapi kabla hata hujaomba'.

'Tuna Freedom of information Act'.

Hapo umemaliza kila kitu,bongo kila kitu kinafichwa tu.

dodge
 
Mwanajeshi marekani lazima kichwani awe Safi

Bongo private anawaza kumpigisha kichurachura Raia alikatiza eneo la jeshi badala ya kumpa elimu kwamba harusiwi yeye ndio anaona kapata mwanasesere wa kumfurahishs na kichura kichura

Marekani wanajeshi wanapendwa sana na Raia alikatiza tu kitaa na kombati yake Kila mtu anamwambia "thank u for your service"

Mjeda wa bongo akakikatiza kitaa Raia washaanza kununa

Ifike mahalo jeshi letu pia lijikite kujenga mahusiano mazuri na Raia wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tuweke hayo marupurupu wanayopewa hao wanajeshi wa US,na sisi tuangalie field nyingine wanalipwaje hayo marupurupu.

Lkn kwa US mwanajeshi ni wa kawaida sana tu kwny suala la kipato,hayupo wala kwny top earners.

dodge

Hawajui kuwa data zao hazidanganyi
Sasa mtu anakuuliza weka link wakati kama ni raia una apply online tu



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Haaaa
Wakuu mliotembea na kuyajua mambo mbali mbali hasa ya kijeshi nijulisheni,,,maana kuna mjeshi mmoja toka marekani anamwaga misaada hapa wilayani mpaka najiuliza katakatisha fedha huko kwao au nini!!!! Hivi mishahara ya wajeda marekani ni mikubwa kiasi cha kupata hadi hela ya kutoa misaada??? Vp mwanajeshi wetu tz wana uwezo huo pia???? Pia nimeona anapiga tizi kwenye uwanja was shule hapa aisee jamaa yuko fit ile mbaya sasa najiuliza hawa wajeda wetu wameiva kama huyu,,nanyemelea nipate kuwa mkalimani wake hapa,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanajeshi marekani lazima kichwani awe Safi

Bongo private anawaza kumpigisha kichurachura Raia alikatiza eneo la jeshi badala ya kumpa elimu kwamba harusiwi yeye ndio anaona kapata mwanasesere wa kumfurahishs na kichura kichura

Marekani wanajeshi wanapendwa sana na Raia alikatiza tu kitaa na kombati yake Kila mtu anamwambia "thank u for your service"

Mjeda wa bongo akakikatiza kitaa Raia washaanza kununa

Ifike mahalo jeshi letu pia lijikite kujenga mahusiano mazuri na Raia wake

Sent using Jamii Forums mobile app

Majeshi mengi duniani yanapendwa na raia sana kwani wanategemewa kwa mambo mengi sana sio mipakani tu kama sisi tunavyodhani
Kwenye natural disasters wanajeshi ndio wa kwanza kupelekwa tena bila ombi wanakwenda tu kwa Amri ya jeshi kwani ni moja ya kazi zao

Mafuriko yakitokea wao ndio waokoaji
Angalia China ile hospitali ya Coronavirus ni nguvu ya jeshi



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wakuu mliotembea na kuyajua mambo mbali mbali hasa ya kijeshi nijulisheni,,,maana kuna mjeshi mmoja toka marekani anamwaga misaada hapa wilayani mpaka najiuliza katakatisha fedha huko kwao au nini!!!! Hivi mishahara ya wajeda marekani ni mikubwa kiasi cha kupata hadi hela ya kutoa misaada??? Vp mwanajeshi wetu tz wana uwezo huo pia???? Pia nimeona anapiga tizi kwenye uwanja was shule hapa aisee jamaa yuko fit ile mbaya sasa najiuliza hawa wajeda wetu wameiva kama huyu,,nanyemelea nipate kuwa mkalimani wake hapa,,,
Ujinga mzigo, kaulize huu upuuzi Mogadishu.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mmeshindwa kutumia Mali zilizopo mpaka mkavamie wengind
Jeshi letu niseme wazi hatujakitumia vizuri .Marekani wanalipwa vizuri sababu jeshi hutumika kuvamia nchinkiuchumi ili wapore Mali ziende Marekani.

Mfano majeshi yetu yalienda kupigana nchi zote za kusini mwa Afrika jeshimlingevamia migodi ya almasi na dhahabu Afrika kusini,Zimbabwe,Namibia,no na visima vya mafuta Angola na kuvamia Kongo kupora raslimali kule na kuzileta Tanzania ,Tanzania ingekuwa nchi tajiri kuikaribia Marekani.

Tatizo jeshi letu halitumiki kupora Kama la Marekani wanapigana tu Kama wehu hawakwapui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mliotembea na kuyajua mambo mbali mbali hasa ya kijeshi nijulisheni,,,maana kuna mjeshi mmoja toka marekani anamwaga misaada hapa wilayani mpaka najiuliza katakatisha fedha huko kwao au nini!!!! Hivi mishahara ya wajeda marekani ni mikubwa kiasi cha kupata hadi hela ya kutoa misaada??? Vp mwanajeshi wetu tz wana uwezo huo pia???? Pia nimeona anapiga tizi kwenye uwanja was shule hapa aisee jamaa yuko fit ile mbaya sasa najiuliza hawa wajeda wetu wameiva kama huyu,,nanyemelea nipate kuwa mkalimani wake hapa,,,

Jeshi la Marekani lipo katika sehemu tatu kubwa, wanajeshi walio kazini yaani Active army, kuna wale wa kawaida wanoitwa regular army na wale wa Akiba yaani reserve army.

Hawa wa reserve wapo wa aina mbili yaani wanoitwa National Guard na wale wanoitwa Army reserve.

Katika hao reserve army hawa wa National guard wanafunzwa kwa mafunzo ambayo yanawawezesha kuwepo kwenye jeshi la Marekani liwapo vitani yaani wanaitwa component of US Army.

Maofisa wa jeshi la Marekani wapo wa aina tatu kuna wale walotunukiwa kamisheni yaani commissioned Officers, ambao wengi huwa na fani zao aingine tayari kama udakatari unesi na kadhalika.

Hawa wanalipwa kwa madaraja au grades kuanzia 0-1 hadi 0-9

Kuna wale wanoitwa Warrant officers ambao malipo yao huwa ni kuanzia W-1 hadi W-5

Mwisho kuna wale wasotunukiwa kamisheni wanaoitwa enlisted yaani wameandikishwa na huwa ni masajenti au makoplo pia kuna maprivates na madaraja ya mishahara yao huitwa E-1 hadi E-8

Sasa muulize jamaa yupo kwenye kundi gani kati ya hayo? maana anaweza kuwa ni reserve na aha pesa yake nyinig tu inayotokana na kazi yakle ingine ya kiraia.

Ila kwa ujumla wanajeshi wa arekani na nchi zingine zilizoendelea wana mafao mazuri Zaidi wanapoacha jeshi na si lazima waache jeshi wakiwa wazee.

Kuna jamaa wengi tu nawafahamu huku ughaibuni ambao wameacha jeshi na wanafanya shughuli zingine kama udereva wa nabasi ya abiria khasa wale wa kutoka Nepal.

Hivyo huwezi kuwalinganisha kabisa na wanajeshi wa JWTZ kwenye mishahara na kimaslahi.

Kwa upande wa mafunzo pia hauwezi kulinganisha mafunzo yao maana mafunzo ya kijeshi ya wamarekani ni ya daraja la juu Zaidi kwa kusaidiwa na vifaa mbalimbali na teknolojia vya kisasa zaidi hivyo kuwa juu ya JWTZ.
 
Sio kweli mkuu, hapa nyumbani wanajeshi wanaheshima kubwa tu na mishahara yao ni mizuri.

Ikumbukwe tu kuwa kila Taifa linajikuna kutokana na uwezo wa rasilimali zake. Hatuwezi fanana wote. Ila kwa viwango vya hapa nyumbani, wanajeshi wetu wanalipwa vizuri.
Hahahahahahahaha usilolijua mkuu, nikuache hivyo hivyo hii mitandao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, una uhakika mwanajeshi wa tanzania hathaminiwi na serikali? Vitu vingine kama ni vikubwa zaidi ya akili yako basi waazime akili hata jamaa wa bodaboda wakusaidie kufikiri..
Sio kupayuka tu..
Usiongee bila kufikiria kumbuka mfano hapa ni Marekani na Tanzania wanafananishwa sio mwanajeshi na mwalimu jaribu kuelewa swali. Wanathaminiwa ndio kulinganisha na mwalimu ila mleta mada amelinganisha na mwanajeshi wa Marekani. Unafeli sio hujui ila haujaelewa swali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi letu niseme wazi hatujakitumia vizuri .Marekani wanalipwa vizuri sababu jeshi hutumika kuvamia nchinkiuchumi ili wapore Mali ziende Marekani.

Mfano majeshi yetu yalienda kupigana nchi zote za kusini mwa Afrika jeshimlingevamia migodi ya almasi na dhahabu Afrika kusini,Zimbabwe,Namibia,no na visima vya mafuta Angola na kuvamia Kongo kupora raslimali kule na kuzileta Tanzania ,Tanzania ingekuwa nchi tajiri kuikaribia Marekani.

Tatizo jeshi letu halitumiki kupora Kama la Marekani wanapigana tu Kama wehu hawakwapui
Hahahahah ww umeelewa swali na jibu lako limepita penyewe. Shida ni kwamba kwetu wanajeshi ni wale waliofeli, na sababu ni mbumbumbu wanatumika kubeba korosho na kujenga jenga shule, nyumba za walimu, madaraja kwa bei nafuuuuu kabisa. Zile mishe za akili kubwa hatuwezi, hakuna ma IT wale konki wakudukua taarifa za nchi moja na nyingine ili tupambane kiuchumi nk, badala yake wakina kabudi na wenzake wa jalalani ndo wanapiga kelele bila ujuzi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom