Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,345
- 45,542
Si kweli wanajeshi wa US wanalipwa salary ya kawaida kabisaaa kulinganisha na field nyingine huko US,tena wako chini kabisa kulinganisha na field nyingine kama Accountants,Lawyers,Salesman,Doctors,IT etc
An entry-level Army private analipwa $20,172 kwa mwaka.
Top Air Force generals analipwa $189,600 kwa mwaka.
dodge
Hilo halina mjadala mishahara sio mikubwa hivyo tena nimelinganisha na UK waingereza wanawaacha mbali sana kwa mishahara
Hata mimi nawazidi mshahara
Baadhi yao wa USA
Na hawa ni UK ila kwetu sijui wanakula ngapi
Sent from my iPhone using Tapatalk