Hivi mwanajeshi wa Marekani ana hadhi sawa na mwanajeshi wa Tanzania? Kuanzia kipato/ mshahara, mafunzo?

Mishenyi

JF-Expert Member
Oct 6, 2019
464
748
Wakuu, mliotembea na kuyajua mambo mbalimbali hasa ya kijeshi nijulisheni, maana kuna mjeshi mmoja toka Marekani anamwaga misaada hapa wilayani mpaka najiuliza katakatisha fedha huko kwao au nini.

Hivi mishahara ya wajeda marekani ni mikubwa kiasi cha kupata hadi hela ya kutoa misaada? Vipi mwanajeshi wetu Tanzania wana uwezo huo pia?

Pia nimeona anapiga tizi kwenye uwanja wa shule hapa aisee jamaa yuko fit ile mbaya sasa najiuliza hawa wajeda wetu wameiva kama huyu, nanyemelea nipate kuwa mkalimani wake hapa.
 
Bila hata uzoefu wowote ule. Mwanajeshi wa Marekani ni binadamu anayethaminiwa huku ni kama mbwa tu asiye na mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu, hapa nyumbani wanajeshi wanaheshima kubwa tu na mishahara yao ni mizuri.

Ikumbukwe tu kuwa kila Taifa linajikuna kutokana na uwezo wa rasilimali zake. Hatuwezi fanana wote. Ila kwa viwango vya hapa nyumbani, wanajeshi wetu wanalipwa vizuri.
 
Bila hata uzoefu wowote ule. Mwanajeshi wa Marekani ni binadamu anayethaminiwa huku ni kama mbwa tu asiye na mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, una uhakika mwanajeshi wa tanzania hathaminiwi na serikali? Vitu vingine kama ni vikubwa zaidi ya akili yako basi waazime akili hata jamaa wa bodaboda wakusaidie kufikiri.
Sio kupayuka tu.
 
Sio kweli mkuu, hapa nyumbani wanajeshi wanaheshima kubwa tu na mishahara yao ni mizuri.

Ikumbukwe tu kuwa kila Taifa linajikuna kutokana na uwezo wa rasilimali zake. Hatuwezi fanana wote. Ila kwa viwango vya hapa nyumbani, wanajeshi wetu wanalipwa vizuri.
Wana uwezo wa kudhamini angalau vitbu vichache kwenye shule za kata? Au nao hali zao kama zetu?
 
Mkuu, una uhakika mwanajeshi wa tanzania hathaminiwi na serikali? Vitu vingine kama ni vikubwa zaidi ya akili yako basi waazime akili hata jamaa wa bodaboda wakusaidie kufikiri.
Sio kupayuka tu.
Wana uwezo wa kubadili maisha ya majumbani kwao walikotokea au bado wanatumika kama mbwa wa wanasiasa tu, polisi wetu hao hali zao nazijua mana kuna mjomba kashindwa kumsitiri mama ake asinyesheshewe na mvua.
 
Sio kweli mkuu, hapa nyumbani wanajeshi wanaheshima kubwa tu na mishahara yao ni mizuri.

Ikumbukwe tu kuwa kila Taifa linajikuna kutokana na uwezo wa rasilimali zake. Hatuwezi fanana wote. Ila kwa viwango vya hapa nyumbani, wanajeshi wetu wanalipwa vizuri.
Heshima ya namna gani? Mishahara yao inatosheleza au ni ile ya kununulia nyanya na jinzi tu?
 
Wakuu mliotembea na kuyajua mambo mbali mbali hasa ya kijeshi nijulisheni, maana kuna mjeshi mmoja toka marekani anamwaga misaada hapa wilayani mpaka najiuliza katakatisha fedha huko kwao au nini!!!! Hivi mishahara ya wajeda marekani ni mikubwa kiasi cha kupata hadi hela ya kutoa misaada? Vp mwanajeshi wetu tz wana uwezo huo pia? Pia nimeona anapiga tizi kwenye uwanja was shule hapa aisee jamaa yuko fit ile mbaya sasa najiuliza hawa wajeda wetu wameiva kama huyu, nanyemelea nipate kuwa mkalimani wake hapa.
Alijitambulisha kuwa ye ni US soldier?
Kaja kufanya nini huko?
Yuko likizo so kaja kwasafari ya kitalii?
Kwasababu upo karibu nae, huwa akimaliza kugawa misaada huwa anafanya nini siku nzima?
Jaribu kuwa karibu nae zaidi usikate yupo kwenye mission ya kijasusi na hizo ishu za msaada ni geresha tu.
 
Wana uwezo wa kubadili maisha ya majumbani kwao walikotokea au bado wanatumika kama mbwa wa wanasiasa tu,,,polisi wetu hao hali zao nazijua mana kuna mjomba kashindwa kumsitiri mama ake asinyesheshewe na mvua
Tumia akili japo 1/8 ya hiyo akili. Kama umeshaitumia yote na bado hujanielewa ktk hiyo comment yangu sina msaada mkuu.
Polisi sio mwanajeshi kwa tafsiri yetu.
 
Alijitambulisha kuwa ye ni US soldier?
Kaja kufanya nini huko?
Yuko likizo so kaja kwasafari ya kitalii?
Kwasababu upo karibu nae, huwa akimaliza kugawa misaada huwa anafanya nini siku nzima?
Jaribu kuwa karibu nae zaidi usikate yupo kwenye mission ya kijasusi na hizo ishu za msaada ni geresha tu.
Yes wala hafichi ukipiga nae stories anakuonesha mpaka kitambulisho,,,namlia timing nipate angalau mtaji
 
Back
Top Bottom