KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,554
- 1,920
I didnt expect you're this uselessUNASOMA UDAKTARI VIZURI WE OMBA TU UDAKTARI UNAENDANA NA BIOLOGY WITH CHEMISTRY NA ENGENEERING INAENDANA NA PHYSICS WITH MATHEMATICS
I didnt expect you're this uselessUNASOMA UDAKTARI VIZURI WE OMBA TU UDAKTARI UNAENDANA NA BIOLOGY WITH CHEMISTRY NA ENGENEERING INAENDANA NA PHYSICS WITH MATHEMATICS
"Labda kupima uzito...urefu nk"Hv physics ina application gani kwenye udaktari
Ni ngumu kaka,Mimi Mwenyewe nilitaka nisome optometry wakanibania eti kisa physics nimepata d,wakati chemistry Nina b na biorogy nilipata c,sasa hivi ninasoma nursing kozi ambayo nilikuwa sitaki hata kuisikia masikioni mwangu,ninajipa moyo tu hii nchi ina mambo ya hovyo,wacha nimalize hii kozi nikaombe uraia hata Uganda,Tanzania wanabaniana sana tena
Hasa hivi vyuo vya afya vya serkali
usilalamike dogo vigezo unavyo sema tatizo ni competition wapo waliofaulu vizuri zaidi ya hizo alama zako hata ungeomba diploma in clinical office ungekosa labda certficate.Ni ngumu kaka,Mimi Mwenyewe nilitaka nisome optometry wakanibania eti kisa physics nimepata d,wakati chemistry Nina b na biorogy nilipata c,sasa hivi ninasoma nursing kozi ambayo nilikuwa sitaki hata kuisikia masikioni mwangu,ninajipa moyo tu hii nchi ina mambo ya hovyo,wacha nimalize hii kozi nikaombe uraia hata Uganda,Tanzania wanabaniana sana tena
Hasa hivi vyuo vya afya vya serkali
UongoUdactari ni hadi uwe umesoma physics.. tofaut na hapo haiwezekani.
AnasomaCBG je hasomi udaktari??
Ataje namba za usajili tumpeleke Kwa maguwewe jipu hebu taja jina lako tukutumbue tena utafungwa kaa kimya ww
Mm mbona nlsoma PCM nasahv ni daktar bingwa wa papuchi
Wengine wanaililiaNi ngumu kaka,Mimi Mwenyewe nilitaka nisome optometry wakanibania eti kisa physics nimepata d,wakati chemistry Nina b na biorogy nilipata c,sasa hivi ninasoma nursing kozi ambayo nilikuwa sitaki hata kuisikia masikioni mwangu,ninajipa moyo tu hii nchi ina mambo ya hovyo,wacha nimalize hii kozi nikaombe uraia hata Uganda,Tanzania wanabaniana sana tena
Hasa hivi vyuo vya afya vya serkali
Duh upo chuo gani bro?Ni ngumu kaka,Mimi Mwenyewe nilitaka nisome optometry wakanibania eti kisa physics nimepata d,wakati chemistry Nina b na biorogy nilipata c,sasa hivi ninasoma nursing kozi ambayo nilikuwa sitaki hata kuisikia masikioni mwangu,ninajipa moyo tu hii nchi ina mambo ya hovyo,wacha nimalize hii kozi nikaombe uraia hata Uganda,Tanzania wanabaniana sana tena
Hasa hivi vyuo vya afya vya serkali