Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,890
Habarini Wakuu,
Nauliza, endapo mwanafunzi alisoma combination ya Chemistry, Biology na Nutrition (CBN) form 6 na kufaulu vizuri, anaweza kuapply course ya Doctor of Medicine na akachaguliwa?
Msaada tafadhali,
Nauliza, endapo mwanafunzi alisoma combination ya Chemistry, Biology na Nutrition (CBN) form 6 na kufaulu vizuri, anaweza kuapply course ya Doctor of Medicine na akachaguliwa?
Msaada tafadhali,