Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Baba wa Taifa,mwalimu Nyerere alieishi maisha ya kawaida alipokuwa Ikulu kwa maana ya kutojipendelea yeye mwwenyewe na hata kutopendelea alikotoka, alifanya hivyo hata katika mavazi kwa maana ya kutoonekana kila wakati akiwa anavaa suti mpya?
Hili ni jambo ambalo halitazamwi sana lakini ukweli hiki ni kipimo kimojawapo cha kiongozi asiependa makuu na mwenye kuonyesha mfano wa nidhamu ya matumizi ya fedha za umma.
Mzee wa watu kweli alikuwa mjamaa halisi.
Mwenye majibu tafadhali.
Hili ni jambo ambalo halitazamwi sana lakini ukweli hiki ni kipimo kimojawapo cha kiongozi asiependa makuu na mwenye kuonyesha mfano wa nidhamu ya matumizi ya fedha za umma.
Mzee wa watu kweli alikuwa mjamaa halisi.
Mwenye majibu tafadhali.