miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Kitu kimefutwa......we umekionaje????
hakuna kitu kizuri kama kuwa na mawazo positive kwenye ndoa..unaenjoy kwa kweli no stress yani furaha tu hata mtu akicheat anajishtukia mwenyewe.. anaacha mwenyewe..
Kwann upekue simu yake. We ni msukuma?..una mavi kweli wewe!!!..mnfyuuuuu
Mwanangu uwa unanivunja mbavu sana na huu msemo wako "weka picha" ata pasipo na picha we unataka picha tu.. Ha ha
japo cjaoa ila naipenda sana hii ktk mahusiano
hakuna kitu kizuri kama kuwa na mawazo positive kwenye ndoa..unaenjoy kwa kweli no stress yani furaha tu hata mtu akicheat anajishtukia mwenyewe.. anaacha mwenyewe..
Ntajifunza kua positive,,lakini sijiu ntaweza!!!
inabidi usiwe mtu wa kujali sana,mie nimeshapata tiba mbadala siku hizi stress nimetupa kule..
Utaweza ukiamua...
Taratibu bhana....
ibebe mpaka huko ndoani,..ni nzuri ila inahitajika uwe na moyo wa kutojali kupitiliza..
Na wenyewe pia ni problem...
Kuoneana wivu kuna raha yake bana...ingawa ukizidi unaleta kero;
Mi nikimwambia hubby leo naenda dinner mahali afu asinihoji ntakosa raha...
Bila wivu ntajuaje ananipenda...
We naye....umeolewa na malaika? Utakufa kwa presure bure Bibie. UKishajua anacheat utamwacha au utaendelea kushare? Au utafanyeje? Acha kufukunyua sms za mwenzio, kama ana cheat atajiingza tu kwa anaga zakoMmmmh ndo nimezidi kudata