Kusoma inawezekana ila kubadilishiwa cheo itategemea na mahitaji ya mwajiriHivi muajiriwa wa serikali clinical officer anaweza akaomba ruhusa kwenda kusoma akaruhusiwa kusoma barchelor of science in human nutrition au akasoma healthy management system?
Na akimaliza masomo anabadilishwa cheo.?
Inawezekana mkuu!Hivi muajiriwa wa serikalini clinical officer anaweza akaomba ruhusa kwenda kusoma BARCHELOR OF HUMAN NUTRITION au BARCHELOR OF HEALTH SYSTEM MANAGEMENT akaruhusiwa..? na akimaliza kusoma anabadilishiwa majukumu anakua nani..?