Hivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini?

uberimae fidei

JF-Expert Member
Dec 16, 2016
2,406
3,593
Hivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini kufukuzwa ili upate cheo chake?haya mambo sidhani kama wazungu wanayo.ndo maana hatuendelei .chuki na ubinafsi kila mahali.hali ilivyo ngumu saivi bado mtu anakufanyia fitna ili ufukuzwe kazi.na walaaniwe wote wenye tabia hizo
 
Hivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini kufukuzwa ili upate cheo chake?haya mambo sidhani kama wazungu wanayo.ndo maana hatuendelei .chuki na ubinafsi kila mahali.hali ilivyo ngumu saivi bado mtu anakufanyia fitna ili ufukuzwe kazi.na walaaniwe wote wenye tabia hizo

Kuna uwezekano mkubwa hata kwa wazungu yapo ukisoma majarida na vitabu vya business labda scale ndio inaweza kuwa chini.

Dawa na namna ya kukata mzizi wa fitina ni kuwa 'smart' kazini kupita maelezo; yaani muda wote aim higher na kwa quality ya nguvu.
 
Mkuu unajua wakati mweingine unakuwa hauna jinsi tu mimi hapa nina wasichana tangu Kampuni iwe chini yangu wenye kampuni kurudi kwao maana hii ni branch tu.

Wao kuja kazini mpaka wajisikie na mishahara na allowance zote wanapewa ila hawana moyo wa kazi ninao uwezo wa kuwafukuza kazi ila nawaza pia je nikiwafukuza mishahara yao itaongezwa kwangu jibu ninalolipata naona bora waendelee.
Nilishawasema lakni hawabadili kama nipo peke yangu ofisini watu washazoea kazi .

Nao nikiwachongea watakuja kutoa uzi kama huu ili kunilaumu.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom