Hivi mtu mwanaume mwenye korodani moja anauwezo wa kuzalisha?

jaridotcom2

Member
Jul 26, 2012
62
11
Jamani naomba kuuliza hvi mwanaume mwenye korodani moja anauwezo wa kuzalisha? ikiwa anatoa mbegu kwa kutumia korodani moja tu naomba msaada wenu?
 
Jamani naomba kuuliza hvi mwanaume mwenye korodani moja anauwezo wa kuzalisha? ikiwa anatoa mbegu kwa kutumia korodani moja tu naomba msaada wenu?

Korodani moja inatosheleza kutoa mbegu za kuweza kumzalisha mwanammke.

Anatungisha mimba bila ya tatizo lolote lile.
 
Back
Top Bottom