kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Last weekend nikiwa na washkaji zangu kiwanja flani hapa mjini,ghafla akatokea mtu mmoja kwenye meza yetu akajitambulisha kuwa yeye anaitwa Uchebe akawa anatuomba tumnunulie bia, tukamuuliza yeye ni nani akatushangaa tu imekuaje sisi hatumjui yeye na wakati ni mtu maarufu sana hapa Tanzania then akaondoka zake.
Sie tukaamua kugoogle ili kuona jamaa kama ni msanii wa Sanaa yoyote hapa Tanzania lakini hatukubahatika kuona kazi yake yoyote ya Sanaa.
So nikaona nije kuwauliza wakuu,huyu the so called Uchebe ni msanii wa Sanaa gani hapa Tanzania.
Sie tukaamua kugoogle ili kuona jamaa kama ni msanii wa Sanaa yoyote hapa Tanzania lakini hatukubahatika kuona kazi yake yoyote ya Sanaa.
So nikaona nije kuwauliza wakuu,huyu the so called Uchebe ni msanii wa Sanaa gani hapa Tanzania.