uyo kichwa chake kilifumuliwa akajazwa mavi then kikarudishiwa msameheni
Mkuu,
Hofu yangu ni kwamba huenda hamna abiria yeyote ambae aliyasema hayo bali ni maoni yako kwamba aipendae CCM anapaswa kupimwa akili! Na hata kama ni kauli toka kwa mtu mwingine, bado hupaswi kuishabikia kiasi cha kuwaona Ushauri wangu ni kwamba, haya mambo ya siasa wewe huyawezi hata chembe na katu usipende kutoa kauli kama hizo manake unaweza kukuta unamtusi hadi mama yako mzazi au baba yako!! Hivi unataka kuniambia familia yako yote (african extended family) ni wapenzi na wafuasi wa upinzani?! Je, wale ambao sio ambao sina shaka waoi; nao wakapimwe akili?! Ni ushauri tu.....ukitaka kuyaelewa haya niyasemayo jribu siku moja ukiwa umekaa na ndugu zako utamke bayana kwamba "anayeipenda CCM anapaswa kupimwa akili...!"