anajua yeye>>Mnisaidie kuhesabu wadau hivi hizi ni simu
Amekuita kunywa pombe au kuchunguza simu zake? Kunywa pombe rudi nyumbani hayo mambo ya simu hayakuhusu.
Hizo bia zinatumiwa na watu wenye kesi za ardhi au wenye kesi za uvuvi haramu.Alafu anayekubwa hiyo bia prisinor ni buku
Ndio kasimu kadogo ni laini 3, ni kazuri sana coz mwonekano wake hauoneshi kama ni kaini 3. Kanaitwa TECNO 402 kenye thamani ya 35,000. ka-google ukaone.Simu yako moja ina laini 3?
Kwa hapa mjini kawaida. Labda ana biashara ya banda la mpesa au kuingiza nyimbo.Ndio mwamba uimara wa simba,nipo dar mkuu kwan vipi?
Hapo wewe wewe haujaona kuwa nyingine ni images tu kutokana na reflection? Hivi hizo zote umeona ni simu?
Unamuuliza nani sasa?Hapo wewe wewe haujaona kuwa nyingine ni images tu kutokana na reflection? Hivi hizo zote umeona ni simu?
Kila cm na nyumba ndogo yake, akienda kwa huyu zingine zinabali mahali
Umeziangalia kwa macho hayahaya ya nyama his malevolent,master of dark arts,his excellency sir mshana jr au umetumia vyombo vya kazi?Nimeangalia tena hii picha.. Nadhani ni simu zake na za mchepuko wake jamaa kaamua kuziweka zote pamoja.hakuna kupigiwa hapaView attachment 1895146
Hesabu mwenyewe Kwani wewe hujui kuhesabu??.
Ningekuwa najua kuhesabu ningekuwa na msaada,ila sijui kuhesabu sijahudhuria hata vidudu
Mbona chache