jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,456
Hatakiwi kuondoka nyumba bila kuolewa, lakini inawezeka akaondoka kwasababu ya ajira mfano kapata kazi Serikali kapangiwa Mwanza na yeye kwao ni Tabora, au kazalishwa bila kuolewa ili la kuzalishwa bila kuolewa itategemea na tabia yake na mienendo yake.Hapana. Hajanituma nimtafutie mchumba. Mada hii ni ya mimi kungwi kutaka kujielimisha namna nzuri ya kutoa ushauri juu ya umri sahihi wa mtoto wa kike kuondoka nyumbani hata kama hajaolewa.