jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #161
Mnachomekea chomekea tu udaku mliomezeshwa na yule dada halafu jana mkamkimbiaAcha ushamba wako toka kolomije na chato, kwani shida za hao huko vijijini shinyanga zimetatuliwa na ununuzi ndege, kukomboa ndege, kujenga uwanja wa ndege chato kwa kuchukua Trillion 1.5 kienyeji Hazina ( BOT) ? Mtanzania wa Ulaya hajui shida ya wa vijijini shinyanga kivipi? Watanzania kote Duniani wanajua pesa zote za maendeleo wanakula kifisadi wasukuma wawili washamba toka kolomije na chato,miladi yote Nchini wana 10% zao humo ni mafisadi kuliko awamu zote tokea Nchi ipate Uhuru, vichekesho uache wewe kilaza kuwa serous dai Trillion 1.5 , mdai Mtukufu pesa za kivuko feki bilion 8 , mdai zile bilion 252 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa,’mdai Zile nyumba za serikali alizojinunulia kibao tena kienyeji akagawa kwa mdogo wake na hawala ambao hawakuwa watumishi Umma,kama ulikuwa hujui sasa kaa ujue mafisadi ni hao na kinara wa Ufisadi ni Mtukufu malaika toka chato.