Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Naomba kujulishwa msimamizi mkuu wa kura majimboni ni nani?
Nataka nitoe shaka maana kuna vijana wa chama pinzani nimekuta wakilalama kuhusu panga pangua ya wakurugenzi na maDC inayoendelea ya kwamba imetarget majimbo konki. Je ni kweli?
Mimi mgeni kwenye hio sekta
Nijulisheni wakuu.
Nataka nitoe shaka maana kuna vijana wa chama pinzani nimekuta wakilalama kuhusu panga pangua ya wakurugenzi na maDC inayoendelea ya kwamba imetarget majimbo konki. Je ni kweli?
Mimi mgeni kwenye hio sekta
Nijulisheni wakuu.