imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Salma na Ali ni wapenzi wa muda wa miaka 2 sasa.
Ali alikaa kijiweni na kusikia habari juu ya utamu wa kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile na kuambiwa hataweza kukuacha tena. Kwa kuwa Ali anampenda Salma,wakiwa chumban Ali anamuomba Salma wafanye kinyume na maumbile,Salma anakataa kata kata huku ali akisisitiza kuwa anaomba wajaribu tu kwa lengo la kuthibitisha.
Mgogoro unakuwa mkubwa Ali anataka iwe lazima.
Salma anakwenda kwa Mshauri TAYOA
mshauri: kwa kuwa analo kwenye akili nilazima atataka kufanya na kama atakataa anaweza kufanya na mwingine wapo wanaojulikana kwa kutoa huduma hiyo,lakini pia kumbuk hataweza kuingia na kinga kula ni sehemu ya heshma hawaend watu na viatu hivyo kama ni maradh atakuletea nawewe.
Salma inabidi ampigie Ali kuwa niko tayari.
Nae akaenda cku ya kwanza alishindwa kumfanyia,next day akamfanyia Salma alikuwa akilia kwa maumivu,huku Ali akishindwa kuona tofaut yoyote na kumuahidi Salma kutomfanyia tena.
Je mshauri kumruhusu Salma kumpatia Ali huduma hiyo alikuwa SAHIHI?
Ali alikaa kijiweni na kusikia habari juu ya utamu wa kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile na kuambiwa hataweza kukuacha tena. Kwa kuwa Ali anampenda Salma,wakiwa chumban Ali anamuomba Salma wafanye kinyume na maumbile,Salma anakataa kata kata huku ali akisisitiza kuwa anaomba wajaribu tu kwa lengo la kuthibitisha.
Mgogoro unakuwa mkubwa Ali anataka iwe lazima.
Salma anakwenda kwa Mshauri TAYOA
mshauri: kwa kuwa analo kwenye akili nilazima atataka kufanya na kama atakataa anaweza kufanya na mwingine wapo wanaojulikana kwa kutoa huduma hiyo,lakini pia kumbuk hataweza kuingia na kinga kula ni sehemu ya heshma hawaend watu na viatu hivyo kama ni maradh atakuletea nawewe.
Salma inabidi ampigie Ali kuwa niko tayari.
Nae akaenda cku ya kwanza alishindwa kumfanyia,next day akamfanyia Salma alikuwa akilia kwa maumivu,huku Ali akishindwa kuona tofaut yoyote na kumuahidi Salma kutomfanyia tena.
Je mshauri kumruhusu Salma kumpatia Ali huduma hiyo alikuwa SAHIHI?