Hivi mshahara wa askari polisi kwa kima cha chini ni sh ngapi kwa mwezi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Jamani mwenye kujua ni milioni ngapi polisi wa cheo cha chini kabisa analipwa atujuze.

Inaonekana wanalipwa vizuri kuliko watumishi wote wa umma.

Hii ni kutokana na moyo wao uliotukuka na wa kizalendo wa uchapaji kazi katika kiwango hiki cha juu.

Bila shaka wanapendelewa kimaslahi kuliko watumishi wote wa umma.

Naona serikali inawajali kwa kila kitu kama makazi bora, n.k.

Bila shaka mauaji yataendelea ili kulinda maslahi yao mazuri wanayopata.
 
Jamani mwenye kujua ni milioni ngapi polisi wa cheo cha chini kabisa analipwa atujuze.

Inaonekana wanalipwa vizuri kuliko watumishi wote wa umma.

Hii ni kutokana na moyo wao uliotukuka na wa kizalendo wa uchapaji kazi katika kiwango hiki cha juu.

Bila shaka wanapendelewa kimaslahi kuliko watumishi wote wa umma.

Naona serikali inawajali kwa kila kitu kama makazi bora n,k

Bila shaka mauaji yataendelea ili kulinda maslahi yao mazuri wanayopata.
270,000/=.ila ukiua unapewa posho kama laki 3 hivi.
 
Sifa kubwa ya askari polisi wa Tanzania ni ukatili, roho mbaya na kuacha kutumia akili kwani wanangoja kupokera amri tu then wanarusha risasi.Ndiyo maana katika jeshi hilo kigezo cha elimu siyo muhimu, watumikishe utakavyo hawawezi kulalamika, kuishi kwao kwenye vibanda vya mabati kama njiwa.
 
Jamani mwenye kujua ni milioni ngapi polisi wa cheo cha chini kabisa analipwa atujuze.

Inaonekana wanalipwa vizuri kuliko watumishi wote wa umma.

Hii ni kutokana na moyo wao uliotukuka na wa kizalendo wa uchapaji kazi katika kiwango hiki cha juu.

Bila shaka wanapendelewa kimaslahi kuliko watumishi wote wa umma.

Naona serikali inawajali kwa kila kitu kama makazi bora, n.k.

Bila shaka mauaji yataendelea ili kulinda maslahi yao mazuri wanayopata.

Kwani ukilipwa million kumi(10) ndio uuwe watu,...hawana lolote ni roho ya mpinga kristo ndio inawasumbua hawa jamaa.
 
Maadili hakuna nenda ktk vyuo vyao ndiyo utapata picha kamili hata uteuzi wa maafisa havizingatii weledi wowote kwasababu anayeteua naye hakuna vigezo vya utumishi vilivyofuatwa kwahiyo na yeye anazingatia anayemteua atafadika na yeye kwa namna anayoelewa.Hata matukio yanayotokea hayazingatii sheria inayomwongoza.
 
Mara nyingi hasira za mama anapogombana na baba huishia kwa watoto, siku hiyo mtoto anaweza kupata kichapo kinachozidi kosa alilofanya na ndivyo ilivyo hasira za polisi kwa serikali zinaishia kwa raia. Ndio maana unaona polisi wanadai rushwa kwa raia, wanaua raia, wanabambikia kesi raia, wanashiriki ujambazi, wanasumbua madereva barabarani nk . Polisi na wanajeshi hawana njia nyingine ya kudai maslahi yao kwa serikali hata kwa maandamano kwa vile wameshakula kiapo cha utii, njia pekee ni kukimbilia kwenye nguvu wanayofikiria ni dhaifu yaani raia au umma.
Ninachowaambia hawa polisi waonevu waache kabisa tabia hii, umma umeshawachoka na siku moja nguvu ya umma itwatafuna mmoja baada ya mwingine. Kama wana madai ya msingi kwa serikali watumie njia nyingine na sio kuwadhuru raia.
 
Jamani mwenye kujua ni milioni ngapi polisi wa cheo cha chini kabisa analipwa atujuze.

Inaonekana wanalipwa vizuri kuliko watumishi wote wa umma.

Hii ni kutokana na moyo wao uliotukuka na wa kizalendo wa uchapaji kazi katika kiwango hiki cha juu.

Bila shaka wanapendelewa kimaslahi kuliko watumishi wote wa umma.

Naona serikali inawajali kwa kila kitu kama makazi bora, n.k.

Bila shaka mauaji yataendelea ili kulinda maslahi yao mazuri wanayopata.
Mwalimu wa shule za msingi anaishi kama malaika au shetani? Naomba kujua anaanza na kiasi gani.
 
Back
Top Bottom