matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,564
- 15,294
Tuhuma za msbaya kwa watu wetu wa usalama sio siri maana hata bungeni zinajadiliwa.
Wengine wanakurupushwa kwenye nyendo zao za kutimiza wajibu mfano '' kisa cha zakaria wa musoma''.
najiuliza maswali,
Je hatuna mbinu za kutosha kufanya mambo au kukusanya habari bila kushtukiwa kama wazayuni wa mossad?.
Wengine wanakurupushwa kwenye nyendo zao za kutimiza wajibu mfano '' kisa cha zakaria wa musoma''.
najiuliza maswali,
Je hatuna mbinu za kutosha kufanya mambo au kukusanya habari bila kushtukiwa kama wazayuni wa mossad?.