MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Maneno ya Wimbo la Taifa la (Zanzibar) Unguja na Pemba ni haya:yani hakunaga mwenye kufahamu maneno yaliyoko kwenye wimbo wa Jamhuri ya Zanzibar?
Mungu ametubarikia, Unguja na Pemba yote.
Sote tunashangillia, Jamhuri kutuletea.
Mungu ametubarikia, Jamhuri kutuletea.
Wimbo huu ulianza kutumia mara tu baada ya mapinduzi ya 1964 na kuwacha wimbo huu
iliokuwa unatumika tangu 1911-1964.
Sote tunashangillia, Jamhuri kutuletea.
Mungu ametubarikia, Jamhuri kutuletea.
Wimbo huu ulianza kutumia mara tu baada ya mapinduzi ya 1964 na kuwacha wimbo huu
iliokuwa unatumika tangu 1911-1964.
Last edited by a moderator: