Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

Kwa kifupi Sana:
1. Mafuta unayojipaka na Kula, pamoja na maji Safi ni kazi za wakemia
2. Gari unalotumia kuna kazi kubwa ya wafizikia
3. Hesabu sasa ndio balaa maana hata simu unayotumia imejaa kanuni za hisabati.

Vile maslahi hayalipi Sana TZ haina maana hizo kozi sio dili
Yes, hizo kozi ni nzuri huko majuu. Ila kwa hapa kwetu ni huzuni kwa kweli
 
Yes, hizo kozi ni nzuri huko majuu. Ila kwa hapa kwetu ni huzuni kwa kweli

Hapo ni kweli kabisa taaluma za nje na nyumbani ni tofauti kwa kujituma kutokana na taaluma zao au hakuna ajira nyingi za wataalamu hao

Ila majuu ni tofauti sana kwani alichosomea anajitahidi kufika mbali kwa alichosomea
Wapo wengi sana wameamua kutengeneza bidhaa kutokana na taaluma zao wakiwa hata nyumbani tu

Mfano mdogo tu juzi juzi walileta habari inayowahusu wahitimu wawili walioanzisha kutengeneza bia wakiwa nyumbani miaka miwili iliyopita na leo bia zao zipo supermarkets zote baada ya kuchukua mkopo na kupata wafadhili

Leo account zao zimetapika
Wapo waliojiendeleza kwa kutengeneza Apps na zikawaingizia hela sana nao ni wasomi pia

Elimu inasaidia sana kwa walioelewa wamesoma nini ila sio kukariri
 
D
Sehemu ambako physics inakuwa applied
  • Astronomy and astrophysics.
  • Biophysics.
  • Chemical physics.
  • Cosmology.
  • Engineering physics.
  • Geophysics.
  • Medical physics.
  • Optics.
  • Particle physics.
  • Quantum computing.

Kazi za mtu aliyesema physics
  • Data analyst.
  • Engineer.
  • Patent attorney.
  • Physicist.
  • Physics researcher.
  • Physics teacher or professor.
  • Programmer.
  • Project manager.
  • Scientist.
Kazi.ambazo mathematics inakuwa applied

1.Auditor:

2. Data or Research Analyst:

3. Computer Programmer

4. Medical Scientist

5. Financial Analyst

6. Statistician

7. Actuary

8.Economist

9. Software Developer

10. Data Scientist


kazi ambazo chemistry inakuwa applied
Mleta mada usichokijua ni kama.usiku wa kiza walioanzisha hizi degrees sio idiots wanajua nini wanaofanya
Duuh.. mkuu hii ya kusomea Degree ya physics kuwa
programmer na degree ya maths kuwa software developer una uhakika nayo???
 
Sehemu ambako physics inakuwa applied
  • Astronomy and astrophysics.
  • Biophysics.
  • Chemical physics.
  • Cosmology.
  • Engineering physics.
  • Geophysics.
  • Medical physics.
  • Optics.
  • Particle physics.
  • Quantum computing.

Kazi za mtu aliyesema physics
  • Data analyst.
  • Engineer.
  • Patent attorney.
  • Physicist.
  • Physics researcher.
  • Physics teacher or professor.
  • Programmer.
  • Project manager.
  • Scientist.
Kazi.ambazo mathematics inakuwa applied

1.Auditor:

2. Data or Research Analyst:

3. Computer Programmer

4. Medical Scientist

5. Financial Analyst

6. Statistician

7. Actuary

8.Economist

9. Software Developer

10. Data Scientist


kazi ambazo chemistry inakuwa applied
Mleta mada usichokijua ni kama.usiku wa kiza walioanzisha hizi degrees sio idiots wanajua nini wanaofanya
Mkuu unajua tofauti kati ya Computer programming na Software development? Sasa B. Sc in Mathematics na Software development wapi na wapi?
 
Mkuu unajua tofauti kati ya Computer programming na Software development? Sasa B. Sc in Mathematics na Software development wapi na wapi?
Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer

Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
 
Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer

Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
Wapo Tanzania au huko nje ya Nchi alfu mbona hata mimi Bachelor of Archaelogy naweza kuwa Computer progammer

Suala sio zinawasaidiaje Suala wanaajiriwa wapi kama nani TANZANIA
 
Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer

Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
Mkuu usichange files?

Nchi zilizoendelea coding ni somo la lazima kama ilivyo Civics/DS/GS huku kwetu.

Kwahiyo mtu kujua coding siyo lazima awe amesoma Programming
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?🤣

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣

Anyway, mimi sijui.
Hivi kwanini serikali zote Duniani zina MKEMIA MKUU wa serikali (CHIEF GOVERNMENT CHEMIST)? Kwanini kada zingine hazina machief, mimi nadhani BSc Chemistry watoe hapo ni watu wakubwa sana hapa Tanzania. Hawa BSc Chemistry hata serikali inawatambua mkuu na ndio maana unamwona Chief Chemist hapo. WAKEMIA wamo ndani ya katiba mkuu.
 
Hapo ni kweli kabisa taaluma za nje na nyumbani ni tofauti kwa kujituma kutokana na taaluma zao au hakuna ajira nyingi za wataalamu hao

Ila majuu ni tofauti sana kwani alichosomea anajitahidi kufika mbali kwa alichosomea
Wapo wengi sana wameamua kutengeneza bidhaa kutokana na taaluma zao wakiwa hata nyumbani tu

Mfano mdogo tu juzi juzi walileta habari inayowahusu wahitimu wawili walioanzisha kutengeneza bia wakiwa nyumbani miaka miwili iliyopita na leo bia zao zipo supermarkets zote baada ya kuchukua mkopo na kupata wafadhili

Leo account zao zimetapika
Wapo waliojiendeleza kwa kutengeneza Apps na zikawaingizia hela sana nao ni wasomi pia

Elimu inasaidia sana kwa walioelewa wamesoma nini ila sio kukariri
"Elimu inasaidia sana kwa walioelewa wamesoma nini ila sio kukariri." Mkuu ebu agiza kwanza maji hapo na wakikudai pesa waambie PROFESA anakuja kulipa.
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?🤣

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣

Anyway, mimi sijui.
Kuna watu wengi sana maofisini wanafanya kazi ambazo hawakuaomea darasani.
 
Back
Top Bottom