Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

Sehemu ambako physics inakuwa applied
  • Astronomy and astrophysics.
  • Biophysics.
  • Chemical physics.
  • Cosmology.
  • Engineering physics.
  • Geophysics.
  • Medical physics.
  • Optics.
  • Particle physics.
  • Quantum computing.

Kazi za mtu aliyesema physics
  • Data analyst.
  • Engineer.
  • Patent attorney.
  • Physicist.
  • Physics researcher.
  • Physics teacher or professor.
  • Programmer.
  • Project manager.
  • Scientist.
Kazi.ambazo mathematics inakuwa applied

1.Auditor:

2. Data or Research Analyst:

3. Computer Programmer

4. Medical Scientist

5. Financial Analyst

6. Statistician

7. Actuary

8.Economist

9. Software Developer

10. Data Scientist


kazi ambazo chemistry inakuwa applied
Mleta mada usichokijua ni kama.usiku wa kiza walioanzisha hizi degrees sio idiots wanajua nini wanaofanya
Huyo jamaa kakurupuka kuanzisha uzi tuView attachment 1804485
JamiiForums74997689.jpg
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?🤣

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣

Anyway, mimi sijui.
Ungeuliza vizuri kistaarabu ili ueleweshwe .Alio kwambia physics ni kwa walimu tu nani?
Umeshindwa hata ku Google mfizikia anakuwa nani !
Physics is everyghing.
Ukiijua vizuri physics hukosi cha kuifanyia.
Mfizikia anaweza fanya kazi kama scientist sehemu yoyote, idara yoyote.
Anaeza fanya kazi hali ya hewa, TBS, viwndani, research centres.
Mfizikia anaweza kuwa mwalimu vyuoni, veta, NACTE, university nk.
Mfizikia anaeeza fanya kazi bank.
Mfizikis anaweza kuwa mhandisi na hasa akifanya post graduate.
Mfizikia anaweza fanya kazi kama technician, kutengeneza/Karabati vitu mbali mbali vilivyo haribika.
Mfizikia anaweza fanya kazi kama designer kwa eneo lolote atalopenda hata huko kwenye mavazi achana na electronics au mashine ndogo ndogo .
Jeshini wanahitaji sana wafizikia ili wakawatrain upairoti, vifaa vya kiteknolojua. Majeshi yote yanahitaji wanasayansi katoka mambo mbalimbali.
Air craft operator wengine walisoma fizikia.
Mfizikia anaweza kuwa computer programmer.
Physics inafundisha kozi nyingi sana.
Kwa ujimla fizikia ina channel nyingi sana ispokuwa vijana wamelala.
 
Hawa ni baadhi tu ya computer Scientists wenye degrees za mathematics na physics.Wewe kazi kubisha hata facts huna.Computer bila mathematics sio computer

Charles babbage
Von Neumann
Alan turing
Ada lovelace
Alonzo Church
Majinga ! Kwa sauti ya kisukuma.Yani hajui hata kama physics na math wana soma kozi nyingi tu za computer science, siku hizi kuna data science ambayo inawafavour sana wanamahesabu. watu wengine jinga sana!!
 
Majinga ! Kwa sauti ya kisukuma.Yani hajui hata kama physics na math wana soma kozi nyingi tu za computer science, siku hizi kuna data science ambayo inawafavour sana wanamahesabu. watu wengine jinga sana!!
Mkuu watu wengine hawaelewi kitu lakini wanakubishia mtu ambaye unakielewa kitu hicho kuna watu wa ajabu sana
 
Wapo Tanzania au huko nje ya Nchi alfu mbona hata mimi Bachelor of Archaelogy naweza kuwa Computer progammer

Suala sio zinawasaidiaje Suala wanaajiriwa wapi kama nani TANZANIA
Kwanza kabla sijakuambia wanaajiriwa kama kina nani naomba ukiri uwepo wa kazi za waliosoma degrees za phy,chem na math.Nisije kuwa nawapigia mbuzi gitaa
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo

Anyway, mimi sijui.

Watakua mafundi sana katika fani ya designing MABOMU. ROCKETS. NDEGE. MELI. MAGARI. TRAIN. MADAWA TIBA NA MADAWA VIWANDA.MAKISIO YA MIENEDO KATIKA MACHINE TOFAUTI. UVUMBUZI WA VIFAATIBA.UVUMBUZI ZANA TOFAUTI KATIKA KURAHISISHA MAISHA YA BINAADAM KATIKA NYAJA ZA KIFIZIKIA KIKEMIA NA KIHASABATI.

N.B
Bila masomo hayo mzunguuko wa maisha ya binaadamu yengekua magumu sana.
 
Hivi kwanini serikali zote Duniani zina MKEMIA MKUU wa serikali (CHIEF GOVERNMENT CHEMIST)? Kwanini kada zingine hazina machief, mimi nadhani BSc Chemistry watoe hapo ni watu wakubwa sana hapa Tanzania. Hawa BSc Chemistry hata serikali inawatambua mkuu na ndio maana unamwona Chief Chemist hapo. WAKEMIA wamo ndani ya katiba mkuu.
Tayari mleta uzi amepata majibu hapa. Tena mkemia mkuu kwa sasa ni Dr. Fidelis Mafumiko na anateuliwa na Rais aende pale GCLA atamkuta ofisini.
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?🤣

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣

Anyway, mimi sijui.
Hizi course kwa Tanzania kweli ni majanga ukitoa Chemistry,Kwa ajira za serikali kwa Bsc Maths fursa pekee ni kuajiriwa kama mtakwimu katika Serikali za mitaa na Serikali kuu au ambao watamaliza kwa G.P.A kubwa fursa nyingine ni kua lecturer nafasi za scholarship ni nyingi kwa mathematician.speaking from experience
 
Jibu swali wewe.
Kuna jamaa yangu mmoja ni mzaliwa wa chato (mimi pia) alisoma BSCP yani Bachelor of Science ni procurement, tukawa tunamcheka sisi tunaosoma Engineering Courses. Bwanaweeh, baada ya shule jamaa akapata ajira yake serikalini ofisi ya manunuzi, na baadae akapata connection za kuwa karibu na marafiki wa aliyekuwa Rais, Sasa hivi anamiliki heka kadhaa zenye maelufu ya ngo'mbe na ni tajiri wa kutupwa.


NB:Hela kazipata hata kabla ya yule jamaa kuwa Rais, kwahiyo maswala ya kusoma muda mwingine hayahusiani kabisa na mafanikio ya mtu maishani.
 
Kuna Mtu Nimekutana Naye Nikamuuliza Unasoma Chuo Gani?😆😅😄😃😂😂😁😁😀😉
Akasema Chuo Cha Mipango Anasomea Utawala!!!😀
Nikamuuliza Unasoma Uje Ututawale
 
D
Duuh.. mkuu hii ya kusomea Degree ya physics kuwa
programmer na degree ya maths kuwa software developer una uhakika nayo???
Unapoongelea Math au Physics unaongelea misingi ya sayansi. Mtu wa Phy na Maths anauwezo wa kufit kwenye field yeyote ya sayansi au engineering.

Yes mtu wa Phy au Maths anaweza kuwa programmer mzuri sana kuliko hata aliyesoma pure computer science maana kwenye kozi zao wanasoma kozi za programming!!
 
Hawa wasomi wanashangaza.

Hivi ninyi ni walimu?🤣

Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.

Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?

Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣

Anyway, mimi sijui.
Mkuu huna maarifa ya kujua kila kitu chini ya jua. Naamini wewe si daktari, na kama ni daktari basi si engineer, na kama ni engineer basi si mwalimu, na kama ni mwalimu basi si mchungaji, na kama ni mchungaji basi si fundi uashi, na kama ni fundi uashi basi si daktari.

Hakuna kitu ambacho hakina umuhimu kwa sababu tu, wewe huna au hukitumii.
 
Haya masomo tunaya aplly kila siku kwenye maisha yetu
Ukikaa vizuri huwezi kukosa Cha kufanya
Tatizo la tz akili zetu zimelala
Anyway
Soon nachukua degree ya physics in edctn
Then naangalia uwezekano wa scholarship
Nikasome nje.
 
Back
Top Bottom