The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,451
- 17,155
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.
Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.
Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.
Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.
Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.
Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.
Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.
Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?