Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,406
- 92,746
Ndio maana hakuna maendeleo ya moira nchi hii, hao wote watatu hawafai.
Ndio sasa nimewaelewa Wakenya kwa nini ligi yao huko nyuma walifikia kuikabidhi kampuni binafsi ndio iendeshe ligi, sasa nimewaelewa logic yao.
Ndio sasa nimewaelewa Wakenya kwa nini ligi yao huko nyuma walifikia kuikabidhi kampuni binafsi ndio iendeshe ligi, sasa nimewaelewa logic yao.