Kama Kibaka unakuja Kukabia mama mjamzito kwenye Geti la nyumba yangu kwa nini Mbwa asibweke??Sasa tulieni na wenzenu wale maisha . mnabweka nini ?
Kanda nyo nyonyo wanadeka sana. Na utadhani wamelelewa na bibi maana kwao hakuna makosa ila wanaona makosa kwa wengine na muda wote wanaonewa.Mbona hujaweka kashfa ya uuzaji wa Nyumba za serikali chini ya mtukufu mwendazake ?
Kama alivyoingilia kwa Kaka,na mama mkwe wa Mbowe.Mkapa na john walitufanyia dhambi kubwa ndio maana Mungu aliingilia kati
Yaani unalinganisha marais na hao watu wasio na umaarufu wowote stupidKama alivyoingilia kwa Kaka,na mama mkwe wa Mbowe.
Aaaa kumbe wengine walikuwa na damu na wengine walikuwa wanatumia petrol.Yaani unalinganisha marais na hao watu wasio na umaarufu wowote stupid
ichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusishwa kuzitenda.
Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.
Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.
Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Pliz naomba tuheshimiane, mimi sio sukuma gang. Wewe unachuki na JPM (RIP) sababu ulipoteza uchaguzi. Lakini juu ya kuibiwa kura huna ushahidi wa kutosha. Msoga line waliichafua Ccm na JPM alijitahidi kuisafisha hili halina ubishi.Acha kumsifia dhalimu kwa sifa ambazo hakuwa nazo. Kipindi chake aliigeuza ccm kuwa kikundi cha dola, na wala ccm haikuwahi kushinda kipindi chake. Chaguzi nyingi chini yake, zilikuwa za kihayawani na kishenzi kupita maelezo. Watu walitekwa, kuuwawa na hata kupotea. Usidhani hatujui ukweli huo. Kwa sasa kundi la walaji wa Msoga line wanarudi kwa kasi, huku sukuma gang mkiugulia maumivu na ukatili wenu. Kafieni mbali.
Mtalia lia mpaka lini bila kuja suluhu ya kudumu? Haya tufanyeje Sasa maana naomba majambazi mnapokezana ulaji, majambazi mnatuhumianaMliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusishwa kuzitenda.
Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.
Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.
Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Huyo mnaedai aliiokoa ccm kama sio vita vya ndani na kubebwa angepita? Kuna mpinzani ndani na nje ya ccm alikuwa anamshinda Lowassa?Mliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusishwa kuzitenda.
Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.
Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.
Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Mbina hizi pesa zote za wizi ndizo zilizonunua uchaguzi wa kumwingiza mwendazake madarakani?Mliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusishwa kuzitenda.
Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.
Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.
Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
z naomba tuheshimiane, mimi sio sukuma gang. Wewe unachuki na JPM (RIP) sababu ulipoteza uchaguzi. Lakini juu ya kuibiwa kura huna ushahidi wa kutosha. Msoga line waliichafua Ccm na JPM alijitahidi kuisafisha hili halina ubishi.