Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Baada ya Mungu, wazazi, atafuata missus/family.
Na bado unaweza kumbandua?
Kama neno ndugu unamaanisha mahusiano ya damu (kaka, dada, mjomba....) mke si ndugu ni rafiki tu ambaye kesho mkitofautiana mnaweza kutofautiana milele na wala msikumbukane tenaHabari wajuzi wa mambo wanajukwaa, ama hakika elimu bahari huwezi yote kujua, Binafsi huwa sielewi juu ya jambo hili, Kama Mke au mume ni ndugu au sio ndugu wengine wanasema ni rafiki sio Ndugu. Ukweli ni upi hasa!