Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
Nafuatilia mjadala wa ama kuwepo au kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya unavyoendelea hapa nchini.
Lakini ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa wadau wakuu serikalini,wasomi,.wananzuoni,Marais wastaafu wanakubali kuwepo kwa katiba nchini Tanzania wakiwemo pia watendaji wa serikali nk.
Sasa kama hawa wanakubali kwa nini tusianze mchakato au Mpaka nani aamue kuanza kwa mchakato.
Kwa sababu mimi naona kama tunapiga kelele kwani watu wote wanasema bila kuwa wazi hasa NANI ANATAKIWA KUSEMA TAUNZE.
Wengi watasema serikali,lakini nani mwenye maamuzi Rais,wananchi,bunge nani hasa tuwe wazi(au nisaidie nijue)
Byabato
Lakini ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa wadau wakuu serikalini,wasomi,.wananzuoni,Marais wastaafu wanakubali kuwepo kwa katiba nchini Tanzania wakiwemo pia watendaji wa serikali nk.
Sasa kama hawa wanakubali kwa nini tusianze mchakato au Mpaka nani aamue kuanza kwa mchakato.
Kwa sababu mimi naona kama tunapiga kelele kwani watu wote wanasema bila kuwa wazi hasa NANI ANATAKIWA KUSEMA TAUNZE.
Wengi watasema serikali,lakini nani mwenye maamuzi Rais,wananchi,bunge nani hasa tuwe wazi(au nisaidie nijue)
Byabato