Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,784
- 12,227
Ningependa nifahamishwe kama ni mipango ipi inayotekelezwa. Ukisoma ilani na kufuatilia kinachotekelezwa kuna tofauti ya wazi kabisa! Baadhi ya miradi inayotekelezwa gharama ni kubwa mno kubebwa na wananchi kiasi kwamba ulipaji wake utalifanya Taifa kupoteza na kushindwa kusimamia rasilimali zake kwa kukopa mikopo isiyo stahimilika!
Tujisahihishe!!
Tujisahihishe!!