Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 210
Hi everyone in here.
I hope mnaendelea vyema ndugu zangu Watanzania.
Naomba kuuliza kama mikusanyiko ya harusi imeruhusiwa. Huku Wales bado kuruhusiwa kujumuika na wapendwa katika sherehe.
Natamani sana harusi yangu ifanyike nyumbani Tanzania maana huko ndio kitovu changu kilizikwa.
Najua marafiki zangu wa Ulaya, Asia na Marekani baadhi yao hawatakuwa nami ila lazima nifanyie nyumbani kwanza, then baadae Gabon kwao mpenzi wangu. Tutamalizia Wales, (marafiki zangu wa Asia na Amerika mtanisamehe).
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Jambo Tanzania.
I hope mnaendelea vyema ndugu zangu Watanzania.
Naomba kuuliza kama mikusanyiko ya harusi imeruhusiwa. Huku Wales bado kuruhusiwa kujumuika na wapendwa katika sherehe.
Natamani sana harusi yangu ifanyike nyumbani Tanzania maana huko ndio kitovu changu kilizikwa.
Najua marafiki zangu wa Ulaya, Asia na Marekani baadhi yao hawatakuwa nami ila lazima nifanyie nyumbani kwanza, then baadae Gabon kwao mpenzi wangu. Tutamalizia Wales, (marafiki zangu wa Asia na Amerika mtanisamehe).
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Jambo Tanzania.