bensog26
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 159
- 23
kweli mkuu waandishi ni wakombozi wa kwanza lakini wamevaa gamba ukivua utakiona cha moto na matibabu nje ya nchi alafu wanaokuja kukuangalia wachache ukipona na ishu imepita@ Luali shhhhhhhhhhhhhhhh wakikusikia watakung'oa meno na kucha wewe endelea na upekuzi wako yatakayokukuta usitulilie ohooo