Hivi Michuzi ni Mtumwa wa CCM??

@ Luali shhhhhhhhhhhhhhhh wakikusikia watakung'oa meno na kucha wewe endelea na upekuzi wako yatakayokukuta usitulilie ohooo
 
@ Luali shhhhhhhhhhhhhhhh wakikusikia watakung'oa meno na kucha wewe endelea na upekuzi wako yatakayokukuta usitulilie ohooo

Haha kwani una maana wanaofanya kazi ya kung'oa watu meno na kucha ni CCM mkuu au umemaanisha nini sijakuelewa vizuri?
 
Hile ni blog yake, anaandika au anapost anacho fikiria yeye! Ni uhamuzi wake, yupo huru kuandika au kupost vyovyote ili mradi asivunje sheria! Kila kitu kulalamika tu, kw staili hii hatutafika. J'pili njema!
 
Michuzi sio mwandishi wa habari bali ni mpiga picha, kama unataka habari kanunue gazeti mkubwa! Au kama unaona anayopost hayana tija- hujashikiwa bastola uingie kwenye hiyo blog, ile ni blog yake and he can post whatever he wants as long as havunji sheria, sio lazima apost hayo unayotaka kuyaona weye, eboo!
 
Kuna watu meumbwa kulalamika,hivi kweli toka mesoma blog ya michuzi hujaona chochote cha kukusaidia? Umewahi kupeleka habari au tarifa akakataa kuitoa kwakuwa ni chama chako au vinginevyo? Hujawahi ona makala za wana cdm kama zitto au mnyika mle au ulitaka ziwe za upande unaoushabikia tuu? Ile ni open blog,kwamba yeye anayo mambo anayoyaweka yeye kama mwanahabari na ww msomaji akiwamo afisa habari wa CHADEMA anaruhusiwa kutuma habari anayotanga itoke na inawekwa bure,isiwe tu tangazo la biashara. suala la kuona picha nyingi za ccm ni vile wanaohusika wanapeleka sana tarifa kule kutarget kizazi cha digital na ni hvyo hvyo ndo wanavyoona wenzako jinsi jf ilivyojaa mambo na majungu ya CDM.Halafu tena MICHUZI anao uhuru wa kuwa mfuasi wa chama chochote ilimrad havunji sheria,kama yeye anaona CCM ni chama kinachowasaidia watanzania anao hata uhuru wa kuipromote kwakuwa pia ile ni blog ake binafsi,haiwez kuwa kwakuwa unaona habari unazozipenda chache basi unaona tabu, unatamani blog iwe kama gazeti la Tanzania DAIMA ila ikiwa kama la jambo leo inakukera?.Unambiwa no research no right to speak.
 
Mh! Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Unacheki lakini matangangazo ktk blog ya Michuzi bwana! kapiga bao blogs zote na hata jf hatuoni ndani. Hivi ni kwa nini watangazaji wote wanakimbilia kule? Jibu ni kwamba wanafuiata blog yenye kusomwa na watu wengi zaidi ya zote. Je watangazaji Nao ni CCM? Tujiulize kabla ya kulaumu. Pia habari njema za CCM humu jf hazioni ndani. Ni kwa nini? The bottom line ni kwamba yeye amna uhuru wa kupenda anachotaka kama ambavyo jf ina uhuru wa kuchukia asichotaka. Mpo hapo wakubwa?
hatupo hapo,tuko pale
 
Michuzi alianza kupiga picha kwenye kumbi za disko miaka ya 80. Na hilo jina Michuzi alilipata huko, kila alipokuwa akidai/akitaka hela alikuwa akisema: lete michuzi. Alikuwa anapenda nguo za mitindo ya Afrika Magharibi. Baadaye akawa anapeleka picha zake za matukio kwenye magazeti ya Daily/Sunday News ambako baadaye aliajiriwa. Yaliyofuata ndiyo haya ya sasa
 
Michuzi ni Mzalendo. Hakuna habari anayokataa. Kama unabisha mtumie leo hii habari uone kama hataiweka.

Tatizo ni pale mnapofanya mikutano ya siri halafu mnategemea michuzi aweke picha kwenye blog, sasa atazipata wapi?

Ameweka email address yake kwenye blog, ukiwa na habari mtumie ataiweka. Habari zinatafutwa kwa gharama, ili kumpunguzia gharama mpelekee habari. Atakushukuru.

By the way, Michuzi anablog kama hobbie...
 
pole mkuu,mimi na watu wangu tuliacha zamani sana kufungua blog ya michuzi,sababu sio blog ya jamii ni blog ya ccm
 
Wanabodi salamu, nimetafakari sana utetezi wa Salva kuhusu muandaaji wa filamu ya Lwakatare nikasoma eti afisa wa Ikulu aliyewapelekea taarifa ni Michuzi, naomba ufafanuzi,maana huyu kama ndo yupo huko, yatakiwa awe suspect namba moja kwenye utekaji, ndo mtoa taarifa za waandishi wenzake kwa kina Rama Ighondu. Kweli tumekwisha
 
Acha woga Jomba kwani ukombozi uko karibu.
Wanabodi salamu, nimetafakari sana utetezi wa Salva kuhusu muandaaji wa filamu ya Lwakatare nikasoma eti afisa wa Ikulu aliyewapelekea taarifa ni Michuzi, naomba ufafanuzi,maana huyu kama ndo yupo huko, yatakiwa awe suspect namba moja kwenye utekaji, ndo mtoa taarifa za waandishi wenzake kwa kina Rama Ighondu. Kweli tumekwisha
 
Michuzi ni Mwandishi msaidizi wa Rais, kama una utetezi wowote peleka jina lako kwa Marando au Tundu lissu ili muwe mashahidi upande wa Mtuhumiwa, Serikali ishampeleka Jamaa yenu Mahakamani Utetezi wa kwenye Mitandao haumsaidii!
 
Wanabodi salamu, nimetafakari sana utetezi wa Salva kuhusu muandaaji wa filamu ya Lwakatare nikasoma eti afisa wa Ikulu aliyewapelekea taarifa ni Michuzi, naomba ufafanuzi,maana huyu kama ndo yupo huko, yatakiwa awe suspect namba moja kwenye utekaji, ndo mtoa taarifa za waandishi wenzake kwa kina Rama Ighondu. Kweli tumekwisha
Ndugu yangu ni wachache wanaoweza kukataa hiyo kazi kwani IKULU pesa haina mabishano na auditing si kama ya halmashauri ya wilaya.Kuna mambo ambayo tumuombe Mungu tu siku ziishe lakini ukiyatafakari unapata nausea.
 
Niliuliza swali kuhusiana na Issa Michuzi blog, na nikapata maoni tofauti tofauti kutoka kwa wananchi wenye uchungu na nchi yao, kwa kweli inatia hamasa watanzania kuwa na ujasiri wa kudai haki zao za msingi na si tuwe na sifa mbovu miongoni mwa nchi jirani na duniani. Imethibitika tena baada ya mawasiliano ya simu kukamatwa na Chadema dhidi ya Lwekatare kwamba kuna mtu kwenye mazungumzo ya simu alikuwa akitoa pongezi juu ya kukamatwa kwa Lwekatare ila cha kusikitisha zaidi polisi waliweka wazi kwamba aliyekuwa akifurahikia ni Issa Michuzi ambapo alisema ni habari njema kwa CCM kwenye kampeni zake. Hivi jamii inamchukuliaje Issa Michuzi?
 
Back
Top Bottom