Jamani hapa JF naomba kujua nisije kosea, nimekuwa naingia kwenye blog ya Michuzi na kukuta mapicha kibao ya CCM, mara kurudisha kadi za upinzani, mara kampeni za Nape, Makala n.k, au CCM ndo wafadhili wake??yani ukikosea kufungua page yake ujue data kibao zimepotea.
Tusaidieni sie wenye uchungu na hawa wanaoshabikia mambo ya hovyo, muda ule kuna mgomo mkali wa madr, yeye anatuletea mara makamu wa raisi afungua tawi, mara waziri mkuu anaongoza maandamano ya wanaCCM, kweli I wish nisifungue kabisa huko, ingawa kuna habari chache twasoma huko, namshauri abalance matukio, upinzani vs magamba
Tusaidieni sie wenye uchungu na hawa wanaoshabikia mambo ya hovyo, muda ule kuna mgomo mkali wa madr, yeye anatuletea mara makamu wa raisi afungua tawi, mara waziri mkuu anaongoza maandamano ya wanaCCM, kweli I wish nisifungue kabisa huko, ingawa kuna habari chache twasoma huko, namshauri abalance matukio, upinzani vs magamba