Hakika Watanzania tumesikia kauli za mkuu wa Jeshi hivi karibuni, kauli tata sana kwa kiongozi wa juu wa serikalini. Kwanza tulisikia alipotoa kauli tata kuhusia na kesi ya Mbona ambayo tayari ipo mahakamani.
Sijui kwa kutojua au uzembe wa kufikiri kwamba kesi ikishafika mahakamani sio jambo la busara kwa mtu au kiongozi yeyote yule kuzungumzia suala hilo, Hivi majuzi
tumesikia akiwakashifu wakina mama wetu kwamba wasije wakatuzalia mtoto kama gaidi hamza.
Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP SIRRO , inabidi umpuzishe kwa haraka sana kwa manufaa ya TAIFA huenda ikawa ubongo wake ndio umefika kikomo
Sijui kwa kutojua au uzembe wa kufikiri kwamba kesi ikishafika mahakamani sio jambo la busara kwa mtu au kiongozi yeyote yule kuzungumzia suala hilo, Hivi majuzi
tumesikia akiwakashifu wakina mama wetu kwamba wasije wakatuzalia mtoto kama gaidi hamza.
Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP SIRRO , inabidi umpuzishe kwa haraka sana kwa manufaa ya TAIFA huenda ikawa ubongo wake ndio umefika kikomo