Mwanahakij
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 129
- 22
Huyu Mheshimiwa sana, kanukuliwa mambo akisema mambo mengi, yamkini, gazeti la Mwananchi la leo limenukuu kama ifuatavyo kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomsonga Mkapa.
Hayo yote ni mambo mazuri, lakini bado Watanzania wanaona kuwa alichokifanya Mkapa kilikuwa ni kazi bure, jamani sisi ni watu gani tusiokuwa na shukrani yaani kila jambo kwetu ni baya, tukumbuke kuwa nchi hii ilikuwa katika hali ya kuwa mufilisi; ilikuwa haikopesheki lakini sasa tunakopesheka, alisema Chiligati.
Swali kwa huyu Mheshimiwa Chiligati, ni je nani aliifilisi hii nchi? Kwa maneno mengine ni kuwa nani aliifikisha hii nchi hadi ikafikia katika hali ya kuwa mufilisi; [ikawa] haikopesheki? Swali la nyongeza ni je, tumfanyeje huyo aliyeifanya Tanzania yetu ikawa mufilisi kabla ya kumuenzi Mkapa kwa kuinusuru kuwa mufilisi?
Hayo yote ni mambo mazuri, lakini bado Watanzania wanaona kuwa alichokifanya Mkapa kilikuwa ni kazi bure, jamani sisi ni watu gani tusiokuwa na shukrani yaani kila jambo kwetu ni baya, tukumbuke kuwa nchi hii ilikuwa katika hali ya kuwa mufilisi; ilikuwa haikopesheki lakini sasa tunakopesheka, alisema Chiligati.
Swali kwa huyu Mheshimiwa Chiligati, ni je nani aliifilisi hii nchi? Kwa maneno mengine ni kuwa nani aliifikisha hii nchi hadi ikafikia katika hali ya kuwa mufilisi; [ikawa] haikopesheki? Swali la nyongeza ni je, tumfanyeje huyo aliyeifanya Tanzania yetu ikawa mufilisi kabla ya kumuenzi Mkapa kwa kuinusuru kuwa mufilisi?