Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hili ndio swali ninalojiuliza baada ya sababu za kufukuzwa huyu wa sasa kuwekwa hadhrani ingawa sababu zenyewe zimezua maswali mengi kuliko majibu.
Je, unadhani ni kwanini hatukuambiwa sababu za kuondolewa kwa Nape?
Kama kuzitaja si lazima, mbona za huyu wa sasa zimetajwa na magazeti yameandika?
Kama magazeti yamepotosha, ni gazeti gani limepewa onyo, kuchuliwa hatua au kutakiwa kukanusha na kisha kuomba radhi?
Ngoja niishie hapa nikatafute Panadol maana kichwa kinauma.Nitarudi nikipata nafuu.
Je, unadhani ni kwanini hatukuambiwa sababu za kuondolewa kwa Nape?
Kama kuzitaja si lazima, mbona za huyu wa sasa zimetajwa na magazeti yameandika?
Kama magazeti yamepotosha, ni gazeti gani limepewa onyo, kuchuliwa hatua au kutakiwa kukanusha na kisha kuomba radhi?
Ngoja niishie hapa nikatafute Panadol maana kichwa kinauma.Nitarudi nikipata nafuu.