Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,359
wakuu habarini za muda?? Tangia juzi usiku, umeme jijini arusha (maeneo niliyopo - kijenge, njiro na mjini katokati) haujakatika hata kwa dakika moja, je na sehemu nyingine pamoja na mikoa mingine hali ni hiyo hiyo??,,, je ni mgao kwishney?? Au favour maalum kwa ajili ya iddi? Maana sijasikia tamko lolote from tanesko, nijuzeni wakuu,,,
nawasilisha
nawasilisha