Hivi mfungwa akifanya tena kosa kubwa akiwa magereza hukumu yake inakuwaje tena

Mfungwa akifanya kosa la jinai akiwa jela atapelekwa tena mahakamani kushitakiwa,kama lina dhamana hakimu atamwambia kuwa shitaka lako lina dhamana,lakini kwa kuwa unatumikia kifungo utabaki ndani mpaka kesi yako itakapo hukumiwa
 
Mfungwa akifanya kosa la jinai akiwa jela atapelekwa tena mahakamani kushitakiwa,kama lina dhamana hakimu atamwambia kuwa shitaka lako lina dhamana,lakini kwa kuwa unatumikia kifungo utabaki ndani mpaka kesi yako itakapo hukumiwa
Kwani hawezi pewa kifungo cha nje ndani ya dhamana?
 
Yaani kwa mfano mfungwa ambae kashahukumiwa kifungo labda cha miaka kadhaa akiwa huku huko gerezani labda akafanya kosa kubwa tena zaidi ya lililomfunga je hukumu yake inaongezwa akiwa huko huko gerezani au anatolewa anapelekwa tena mahakamani anahukumiwa tena au anahamishwa tena gereza?
akifanya kosa lingine anapelekwa mahakamani na ushahidi ukikamilika na kuonekna ana kosa basi anaukumiwa kulingana na kosa alilofanya.
 
Back
Top Bottom