FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Penzi LA ujanani huwa halisi haliitaji fedha enzi za shule au vyuo,sasa ikitokea umeukwaa ukuu unaweza wasahau kwa kigezo cha kuwa ni Mali ya Wengene au utawasaidia nao waonje ukarimu waliokutendea miaka mingi iliyopita.
Maana naona Trump waandishi wanaibua makoloni yake ili alipe fadhira,Afrika hali ikoje,waandishi mpo akina shilawadu a.k.a Sudi brown hahah.
Instagram;kaukwaju
Maana naona Trump waandishi wanaibua makoloni yake ili alipe fadhira,Afrika hali ikoje,waandishi mpo akina shilawadu a.k.a Sudi brown hahah.
Instagram;kaukwaju