Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello Mkuu, meno ya tembo huwa yanatumika kutengenezea mapambo kama vile vidani, pete, heleni na vitu vingine vya kuvaa kwenye miili ya binadamu. Vilevile, hutumika kutengenezea sanamu za viongozi au watu mashuhuri wenye michango mikubwa katika maendeleo ya nchi. Katika nchi za mashariki ya mbali, bidhaa hizo hununuliwa kwa bei kubwa na wanao nunua ni watu wenye ufahari kama vile wafalme, ma rais na watu wengine kama hao. Kumiliki bidhaa zilizotengenezwa kutokana na malighafi ya meno ya tembo ni jambo la ufahali kwa mataifa hayo na mtu anayemiliki malighafi hizo huthaminiwa katika jamii. Kwa hiyo ni utamaduni tu uliojengeka katika jamii hizo kumiliki bidhaa zilizotengenezwa na malighafi ya meno ya tembo kuwa ni wa kifahali.
Mengi yamefichika hapa....
Kwanza tuanze na hili,
Kwanini meno ya tembo tu na wala si ya fisi ama kenge...
Mengi yamefichika hapa....
Kwanza tuanze na hili,
Kwanini meno ya tembo tu na wala si ya fisi ama kenge...
Naomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
Mkuu biashara kuu c kutengenezea product za urembo.....pembe hizo ni dawa nzuri sana kuongeza nguvu za kiume nadhani unajua jinsi gn watu walivyo desperate kupata hizo dawa
Asanteni kwa mwanga kidogo. Hii biashara inaonekana ni ya thamani kuliko dhahabu.
Asanteni kwa mwanga kidogo. Hii biashara inaonekana ni ya thamani kuliko dhahabu.
Pembe ya Faru ndiyo hutumika kutengenezea dawa za kuongeza nguvu za kiume. Haya meno ya tembo ni mapambo tu na nakshi za mapambo. Najua huwezi amini, lakini watu wamefanya utafiti na wameingia hadi kwenye hivyo viwanda vya kutengenezea hayo mapambo na wakawahoji wahusika kama kuna cha ziada kinachotokana na meno ya tembo wakakiri wenyewe hakuna.
Naomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
Naomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
Mengi yamefichika hapa....
Kwanza tuanze na hili,
Kwanini meno ya tembo tu na wala si ya fisi ama kenge...
Asanteni kwa mwanga kidogo. Hii biashara inaonekana ni ya thamani kuliko dhahabu.